Hizo cash crops kama coffee, tea, sisal, cloves, pyrethrum, tobacco na horticultural products kila moja zinatakiwa ziingize USD 1bn each itakuwa powa sana lakini kazi kubwa inabidi ifanyike.
Hizo cash crops kama coffee, tea, sisal, cloves, pyrethrum, tobacco na horticultural products kila moja zinatakiwa ziingize USD 1bn each itakuwa powa sana lakini kazi kubwa inabidi ifanyike.
Hata zikifika target ya 400 to 500m usd each bado ni hatua nzuri sana na pia ukiangalia tanzania inazalisha mazao menginsanaHizo cash crops kama coffee, tea, sisal, cloves, pyrethrum, tobacco na horticultural products kila moja zinatakiwa ziingize USD 1bn each itakuwa powa sana lakini kazi kubwa inabidi ifanyike.
Why Nairobi and not Turkana, Samburu, Kajiado and Kilifi, can't Nairobi parents feed their kids?
Most counties have a school feeding program. This is unique because food will be distributed from one place to the different schools. And then its not a national government initiative, its a county government project. Every county has its priorities
kipindi cha kuanzia miaka 80 kwenda nyuma Tanzania ilikuwa inaongoza ulimaji kahawa kabla ya Brazil na Colombia kuingia kwenye kilimo cha kahawa!Hizo cash crops kama coffee, tea, sisal, cloves, pyrethrum, tobacco na horticultural products kila moja zinatakiwa ziingize USD 1bn each itakuwa powa sana lakini kazi kubwa inabidi ifanyike.
Kipindi Magufuli alivyokataa mradi wa ujenzi wa bandari ya bagamoyo kutokana na vigezo vya mikataba ikiwemo mda wapinzani walipiga sana kelele akiwemo zitto leo tumekubali bandari iboreshwe wameanza kelele tena wakitumia kigezo hicho hicho cha mda bandari itakuwa chini ya usimamiziCHADEMA Kama kawaida Yao, wameanza kupinga.
Hii habari, nilianza kusikia jana.. nilitaka kuuliza humu nikaona ngoja nisubir kidogo kwanza
Nasubir kusikia comments za design hii 'wapewe tu maana TPA hamna kitu kule. Kwanza wamenicheleweshea kutoa gari yangu zaid ya mwaka sasa'
TPA hawana efficiency kbsa.. bora waondolewe
Kazi kubwa kivipi?Hizo cash crops kama coffee, tea, sisal, cloves, pyrethrum, tobacco na horticultural products kila moja zinatakiwa ziingize USD 1bn each itakuwa powa sana lakini kazi kubwa inabidi ifanyike.
Wanalima sana tu hasa kule kagera....lakin inatoroshwa Uganda kwa sababu ya sera mbovu za ununuzi wa kahawa...na wingi wa madalali katika kilimo....Kazi kubwa kivipi?
Kama coffee imeingiza 230,kwanini wakulima waliolima wasiambiwe walime Mara 4 zaidi?