Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Who is Edgar bwire in the Kenyan government!?
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…

Screenshots_2023-06-05-14-08-58.png

 
African super league ni chaguo wanafanya tu sio kwamba wanaangalia sana ubora wa team sio kweli na bahat nzuri yanga wameombewa nafas pia
Mbona asichaguliwe singida big stars achaguliwe Simba? Nafasi za African Super League zina reflect club strength kwenye ukanda husika na sio kuombewa mezani huo ndio ukweli mchungu
 
Yanga ilipofika wanastahili kupongezwa wamefanya kitu kikubwa sana na pamona na fitna za waarabu lakini wametoka na ushindi na kuonesha mpira wa high standards kwa kweli anastahili kuwapongeza na tanzania kwa ujumla yanga imekua tishio kwa team nyingi africa hasa kwa waarabu wanaojifanya ni smart kuliko wengine hebu tupongeze kwa mafanikio makubwa sana na mkumbuke final kama hzi zinaangaliwa na watu wengi sana duniani hvo ni kichocheo cha utalii pia

Go go tanzania ๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
Mi sina kinyongo na mafanikio ya Yanga ila hii ya kutumia ndege za ATCL kwaaajili ya ligi za ndani, haiko sawa.

Hata hivyo, Simba tulishafika fainali mwaka 1993, kuna jitu lilikuwa linaitwa Lizozo lilitufanyia kitu mbaya sana Taifa.
 
Sasa mkuu kwa pesa gani wanazotumia Yanga, hiyo mi benz wanayonunuliana huko utafananisha na vijisenti vinavyotumiwa, lkn pia hili suala litachochea Ari na wivu wa kimaendeleo kwa timu pinzani za Yanga ili wajuwe kwamba ukifanya vzr utakula mema ya nchi. Wacha Yanga waoneshe mfano wengine watakaza sana next time japo inauma ila watazoea mana hata mm ingeniuma sanaa
100%
 
Back
Top Bottom