Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mi sina kinyongo na mafanikio ya Yanga ila hii ya kutumia ndege za ATCL kwaaajili ya ligi za ndani, haiko sawa.

Hata hivyo, Simba tulishafika fainali mwaka 1993, kuna jitu lilikuwa linaitwa Lizozo lilitufanyia kitu mbaya sana Taifa.
Fainali iliofika simba sio kombe hili ieleweke ndio maana CAF wenyewe wanasema kua ndio team ya kwanza tanzania kufika fainal kombe hili

Na fainal ya simba ni kombe la abiola sio la shirikisho ieleweke kidogo hapo😅😅😅

Alaf mama katoa ndege kwenda mbeya ni kwa ajili ya wito wa ikulu imetatiza ratiba ya yanga ndio maana katoa ndege

 
👏👏👏👏👏
20230605_211513.jpg
 
Fainali iliofika simba sio kombe hili ieleweke ndio maana CAF wenyewe wanasema kua ndio team ya kwanza tanzania kufika fainal kombe hili

Na fainal ya simba ni kombe la abiola sio la shirikisho ieleweke kidogo hapo

Alaf mama katoa ndege kwenda mbeya ni kwa ajili ya wito wa ikulu imetatiza ratiba ya yanga ndio maana katoa ndege

Kwahiyo kombe la kagame ama tusker sio kombe la club bingwa afrika mashariki?
 
Back
Top Bottom