Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

ndinda ni striker wetu hapa kenyaforum,kwa hakika tunajivunia.

wakati sisi wengine huwa tuna-upload picha toka katika vyanzo vingine,yeye hu-upload picha zake mwenyewe ambazo ana hatimiliki nazo.

jamaa huingia mitaani na kupiga picha kali za jiji la dar ambazo huwezi kuzipata sehemu nyingine yoyote ila kwake tu.

Ndinda aka Kilingoland
 
arusha.
b38626608abd0a2c622adbe2022f091a.jpg
Imetulia Tuongezee nyama
5e355e6913c83707afb241797a44be19.jpg
18f1e282bd0dd42c450f74dcb1938ac5.jpg

Penda sana Arusha
 
Shikamoo kwa wakubwa wangu na marahabaa kwa wadogo wangu ,natumai mwaendelea vyema nimekuwa off kiasi ila kwa wale walionimiss kama kadonda11 ,and the group am now back ,and its business as usual. Otherwise have lovely night guys.
 
Shikamoo kwa wakubwa wangu na marahabaa kwa wadogo wangu ,natumai mwaendelea vyema nimekuwa off kiasi ila kwa wale walionimiss kama kadonda11 ,and the group am now back ,and its business as usual. Otherwise have lovely night guys.
bro mbona mikwara mingi...
 
Shikamoo kwa wakubwa wangu na marahabaa kwa wadogo wangu ,natumai mwaendelea vyema nimekuwa off kiasi ila kwa wale walionimiss kama kadonda11 ,and the group am now back ,and its business as usual. Otherwise have lovely night guys.
karibu sana ndg injinia....vp harakati za kisiasa kenya,zinaendaje?.
 
Top 8 Countries with the Highest Paying Jobs in Africa
1: Zambia
2: South Africa
3: Namibia
4: Mauritius
5: Tanzania
6: Ghana
7: Morroco
8: Libya

Where is Kenya
ingekuwa wakati wa utawala wa kikwete, wakenya wengi ma-jobless wangezidi kumiminika tanzania kutafuta ajira wakifoji uraia na kujifanya watanzania kisa tu wote tunazungumza lugha moja ya kiswahili na pia eti wanajua ku-communicate kwa kingereza.

ila kwa utawala huu wa chuma JPM watabaki tu kukodoa macho...idara ya uhamiaji imedhibitiwa kisawasawa.

ajira za tanzania ni kwa watanzania kwanza,wakenya wajaribu mwaka 2030.
 
Back
Top Bottom