Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

He will start losing content if he starts focusing on collaborations all time round... He should be working on a personal album, not just singles and collabos.
angalau vijana wetu wanamuziki wanathubutu kufanya collabos na international artist kuliko wanamuziki wa kenya....show zao ni mombasa,kisumu,nakuru na eldoret.

halafu we jamaa hata hujui progress ya muziki wa kizazi cha sasa....mwanamuziki gani anahangaika kutoa album siku hizi?....yaani atoe nyimbo 10 au 15 kwenye album moja wakati anaweza kutoa nyimbo moja tu na ikabadili maisha yake kwa ujumla....labda wanamuziki wa gospel... secular artist wana deal na singles tu.album kizamani sana.
 
Mishahara inategemea na unapofanya kazi na elimu yako tu...jamaa yangu wataaluma yangu anapata pesa nyingi kuliko mimi sababu ni shirika ....na safari nyingi tu hadi za kwenda nje...
 
angalau vijana wetu wanamuziki wanathubutu kufanya collabos na international artist kuliko wanamuziki wa kenya....show zao ni mombasa,kisumu,nakuru na eldoret.

halafu we jamaa hata hujui progress ya muziki wa kizazi cha sasa....mwanamuziki gani anahangaika kutoa album siku hizi?....yaani atoe nyimbo 10 au 15 kwenye album moja wakati anaweza kutoa nyimbo moja tu na ikabadili maisha yake kwa ujumla....labda wanamuziki wa gospel... secular artist wana deal na singles tu.album kizamani sana.


we are tabling verifiable facts and figures but as usual you are here with your imaginary cooked up stories to lie to your fellow Tanzanians. 9000 ni mshahara ya maid wa nyumba hapa Kenya nowonder Tanzanians hutafuta kazi ya maid na mjengo sana hapa Kenya. Wale omba omba wa Tanzania pia wanajua kuna pesa Kenya sababu wamejaa in our town and city streets.
 
Facts only.....

Salary Survey in Kenya in Administration / Reception / Secretarial
The salary figures below are monthly salaries. You can switch to yearly figures
Switch to yearly salaries
Average Monthly Salary in Kenya in Administration / Reception / Secretarial: 54,544 KES
Other Reports: Job Satisfaction Survey General Job Statistics
Average and Median Monthly Salary Comparison in Kenya in Administration / Reception / Secretarial
Maximum: 300,000 KES
 
we are tabling verifiable facts and figures but as usual you are here with your imaginary cooked up stories to lie to your fellow Tanzanians. 9000 ni mshahara ya maid wa nyumba hapa Kenya nowonder Tanzanians hutafuta kazi ya maid na mjengo sana hapa Kenya. Wale omba omba wa Tanzania pia wanajua kuna pesa Kenya sababu wamejaa in our town and city streets.

Facts only.....

Salary Survey in Kenya in Administration / Reception / Secretarial
The salary figures below are monthly salaries. You can switch to yearly figures
Switch to yearly salaries
Average Monthly Salary in Kenya in Administration / Reception / Secretarial: 54,544 KES
Other Reports: Job Satisfaction Survey General Job Statistics
Average and Median Monthly Salary Comparison in Kenya in Administration / Reception / Secretarial
Maximum: 300,000 KES
kama kawaida yako,naona unatumia nguvu kubwa kujibu post yangu.
 
angalau vijana wetu wanamuziki wanathubutu kufanya collabos na international artist kuliko wanamuziki wa kenya....show zao ni mombasa,kisumu,nakuru na eldoret.

halafu we jamaa hata hujui progress ya muziki wa kizazi cha sasa....mwanamuziki gani anahangaika kutoa album siku hizi?....yaani atoe nyimbo 10 au 15 kwenye album moja wakati anaweza kutoa nyimbo moja tu na ikabadili maisha yake kwa ujumla....labda wanamuziki wa gospel... secular artist wana deal na singles tu.album kizamani sana.
angalau vijana wetu wanamuziki wanathubutu kufanya collabos na international artist kuliko wanamuziki wa kenya....show zao ni mombasa,kisumu,nakuru na eldoret.

halafu we jamaa hata hujui progress ya muziki wa kizazi cha sasa....mwanamuziki gani anahangaika kutoa album siku hizi?....yaani atoe nyimbo 10 au 15 kwenye album moja wakati anaweza kutoa nyimbo moja tu na ikabadili maisha yake kwa ujumla....labda wanamuziki wa gospel... secular artist wana deal na singles tu.album kizamani sana.
Haha it seems someone is on the dark here...
Singles yeah it's the way to go its a good progress.
But even further you build your brand by making albums my friend. Ill give you examples.
Recently Veteran Jay Z released his 4.44 album,
J Cole released 4 your eyez only,Born sinner, For your eyez only
Kendrick Lamar released his Damn album, To pimp a butterfly, Maad city,
Dj Khaled Greatful, Major Key, I changed a lot
Rick Ross : Rather you than me, Teflon Don
Kanye west & Jay Z watch the throne
Drake: views, more life, if you're reading this its too late, so far gone
I can go on and on but those are just examples buddy.
 
Fuatanga posts msee don't make me do your homework for you next time.
Unajua wakat mwengine hua sikuelew yani mkulina alime kwenye shamba lake alaf serekali imlipe tena hakuna biashara inapesa tanzania kama kilimo ndio maana unaona asilimia kubwa sana ya watanzania ni farmers tena siku hizi wengi sana wameingia kwenye ukulima wakisasa
 
He will start losing content if he starts focusing on collaborations all time round... He should be working on a personal album, not just singles and collabos.
Album ipo tayari, inaitwa a boy from tandale. Will be in the market soon. You should buy one
 
Unajua wakat mwengine hua sikuelew yani mkulina alime kwenye shamba lake alaf serekali imlipe tena hakuna biashara inapesa tanzania kama kilimo ndio maana unaona asilimia kubwa sana ya watanzania ni farmers tena siku hizi wengi sana wameingia kwenye ukulima wakisasa
Jamaa ni mbumbumbu sana anajua ajira mpaka uajiriwe na serikali.
Labda ungempa somo tu ajue aina ya ajira.
Mfano:
1. Ajira za serikali
2. Ajira za mashirika binafsi
3. Ajira za mtu binafsi
4. Ajira za mashirika ya kijamii yasiyo ya kiserikali
5. Ajira za mashirika ya kimataifa
nk.

Sasa ndugu yetu yeye anajua public employment pekee yake. Kama sio ushamba ni nini?
 
Haha it seems someone is on the dark here...
Singles yeah it's the way to go its a good progress.
But even further you build your brand by making albums my friend. Ill give you examples.
Recently Veteran Jay Z released his 4.44 album,
J Cole released 4 your eyez only,Born sinner, For your eyez only
Kendrick Lamar released his Damn album, To pimp a butterfly, Maad city,
Dj Khaled Greatful, Major Key, I changed a lot
Rick Ross : Rather you than me, Teflon Don
Kanye west & Jay Z watch the throne
Drake: views, more life, if you're reading this its too late, so far gone
I can go on and on but those are just examples buddy.
basi sawa...
Album ipo tayari, inaitwa a boy from tandale. Will be in the market soon. You should buy one
 
Unajua wakat mwengine hua sikuelew yani mkulina alime kwenye shamba lake alaf serekali imlipe tena hakuna biashara inapesa tanzania kama kilimo ndio maana unaona asilimia kubwa sana ya watanzania ni farmers tena siku hizi wengi sana wameingia kwenye ukulima wakisasa
Yani kichwa yako ni ngumu hivo, haiwezi kuelewa vitu simple?
We were talking about most paying jobs(what does a job mean?) then this guy is speaking about farming, so am wondering how farming is a job.


Jamaa ni mbumbumbu sana anajua ajira mpaka uajiriwe na serikali.
Labda ungempa somo tu ajue aina ya ajira.
Mfano:
1. Ajira za serikali
2. Ajira za mashirika binafsi
3. Ajira za mtu binafsi
4. Ajira za mashirika ya kijamii yasiyo ya kiserikali
5. Ajira za mashirika ya kimataifa
nk.

Sasa ndugu yetu yeye anajua public employment pekee yake. Kama sio ushamba ni nini?
Alafu wewe hata huna aibu na ni wewe unasema ati farming is the most paying job... Farming is farming, it's somewhat an SME so it's NOT an JOB that you get payed in salary, labda ni kiingereza ndio ngumu hapa...
 
Meanwhile...
trend13-16.jpg
 
Yani kichwa yako ni ngumu hivo, haiwezi kuelewa vitu simple?
We were talking about most paying jobs(what does a job mean?) then this guy is speaking about farming, so am wondering how farming is a job.



Alafu wewe hata huna aibu na ni wewe unasema ati farming is the most paying job... Farming is farming, it's somewhat an SME so it's NOT an JOB that you get payed in salary, labda ni kiingereza ndio ngumu hapa...
so farming is not a job ryt??????😀😀😀😀😀😀😀😀 aise kazi ipo basi kwa taarifa yako kilimo ndio kinapesa nyingi sana tanzania na ndio maana kinawalisha kenya uganda rwanda congo burundi sudan zambia malawi rtc
 
Ichioboy huargue for the sake of it. Ukiangalia content kwa arguments zake ni almost zero. He lives in denial. Generally Kenya is more developed and better than Tanzaia, and that pains him a lot
 
Back
Top Bottom