Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

I hate this thread. It just propels hate on each others. Nairobi be proud of Dar and the same viceversa. Long live EAC
.
Thou shalt not hate this thread. Your very statement is contradictory, being proud and telling everyone else how good your city is, goes hand in hand.
 
Wakenya watu safi tu me nilivokua ughaibuni ndo walikua marafiki zangu wa karibu tuliishi vizuri sana so nashangaa mnavopambana hapa kama maadui.
Mkuu ukiwa mgeni unaweza kuhisi tunachukiana kweli

Huu ni utani wa jadi kama simba na yanga tu,vijembe vya hapa na pale ila mwisho wa siku wote ni wamoja

Kiukweli hakuna undugu mkubwa kama wa tz na kenya kwa kuangalia nchi zingine zote zilizotuzunguka
 
My polling station in kericho primary school...Raila - 0
Okoth- 15 uhuru- 1225
22b81b97495aadbc18608f2e5f45e012.jpg
 
kuelekea dar es salaam derby masaa machache yajayo...hii ni zaidi derby hili ni tamasha.....tension ni kubwa sana miongoni mwa mashabiki wa mchezo wa football... gumzo kila pembe ya nchi.
d777766de4ffb5beaef670865464fc9f.jpg
521d690c18ea9f61ff96caae55094ae4.jpg
 
Ila we jamaa unastahili tuzo aisee ....
ndinda ni striker wetu hapa kenyaforum,kwa hakika tunajivunia.

wakati sisi wengine huwa tuna-upload picha toka katika vyanzo vingine,yeye hu-upload picha zake mwenyewe ambazo ana hatimiliki nazo.

jamaa huingia mitaani na kupiga picha kali za jiji la dar ambazo huwezi kuzipata sehemu nyingine yoyote ila kwake tu.
 
Back
Top Bottom