game over
JF-Expert Member
- Jan 1, 2016
- 11,056
- 26,333
Hili ni Kanisa?
Hili ni Kanisa?
hii mobius second model inaweza ikachange the face of kenyan car purchases...tumezoea toyota sana...govt needs to do somethingMobius hapo ni our local Kenyan car
Wewe ndio nilikuwa nakutafuta, ulisema mchanga wa pwani dsm unapausha roads.
Looks like mchanga wa Nairobi nao unapausha barabara pia.
Barabara za nairobi,kampala,kigali huko kwote hazijaparara kama za mombasa na Dar
Za pwani zimeparariwa na sand soil ya pwani, za Kampala tena ndio usiseme na Nairobi, Moshi. Zimeparariwa na clay soil.
Arusha, mwanza, Kisumu can be different maybe.
nilishawahi kulizungumzia hili siku za nyuma hapa hapa kwenye uzi huu kwa kuleta screenshot maarufu kama "screenshot za matope ya nairobi"Lakini za Nairobi zina udongo mwekundu.
shitty teams, na bado your football iko chini sanadar es salaam derby: full-time result.
![]()
ukisikia hasira,kisirani na chuki ndio hii....msee vp?...btw tupe updates za uchaguzi wenyu usiofikia kikomo...tell us how many innocent kenyans have died so far?shitty teams, na bado your football iko chini sana

Hii picha inakaa ya masai mara, who wears boots.. Whuch are matching in nairobi....nilishawahi kulizungumzia hili siku za nyuma hapa hapa kwenye uzi huu kwa kuleta screenshot maarufu kama "screenshot za matope ya nairobi"
ni kwamba udongo wa ardhi ya nairobi ni mwekundu wenye asili ya ufinyanzi unaopelekea uwepo wa matope mengi.
kipindi cha msimu wa masika,nairobi huwa na matope mengi sana,hali inayopelekea kuharibu taswira ya mji na kuleta usumbufu kwa wakaazi wake.
twitter na facebook kuna mamia ya tweets/post za wakenya zikilalamikia matope ya nairobi.
mfano huu hapa.
![]()
huamini kwamba hapo ni nairobi?...nitaliamsha dude kwa "screenshot za matope ya nairobi".Hii picha inakaa ya masai mara, who wears boots.. Whuch are matching in nairobi....

Brathe jibambe, twitterboyhuamini kwamba hapo ni nairobi?...nitaliamsha dude kwa "screenshot za matope ya nairobi".![]()