Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwahiyo Kule Darfur ambako hao RSF(Janjawed) walipokua wanaua watu weusi walitumwa na mataifa makubwa?, au kulikua na njia ya kupitisha mafuta?.
Kumbe hujui kuwa Darfur ina mafuta mengi na hiyo ya kuua watu weusi ilikuwa ni njia ya kuwahamisha wakazi hao ili kupisha uchimbaji. kipindi hicho, China National Petroleum Company (CNPC) ndiyo walikuwa wawekezaji wakuu wa nje kwa serikali ya Sudan. Ile ilikuwa ni proxy war kati ya China na Marekani huku ikihusisha serikali ya Chad.
South Sudan walivyopigana kutaka kujitenga pia kulikua na mkono wa mataifa makubwa?,
Ndiyo, visima vingi vya mafuta viko sudani ya kusini, huku mashirika ya mafuta ya magharibi yakiwa na umiliki. Mwamba huo wa mafuta unaambaa mpaka Hoima ambako ndiko bomba letu la mafuta litaanzia.
Somalia wanapigana tangu 1991,
Rais wa Somalia Mohamed Barre aliondolewe (1991), huyu alikuwa ni mjamaa na ni mwaka huo huo USSR ilisambaratika.
au Oromo wanavyopigana kutaka kujitenga pia ni mataifa makubwa?, vita vya Tigrey na Serikali ya Ethiopia pia ni mataifa makubwa,
Zenawi wa Ethiopia naye aliingia maradakani 1991, na kama ulikuwa hufahamu serikali zote duniani zilizoingia madarakani 1991 zilikuwa supported na west (pamoja na ya Yeltin). Hawa wa Tigrinya (kabila dogo la Ethiopia) ndio walioitawala Ethiopia kwa miaka 30, wakipata support kutoka magharibi. Walijipendelea sehemu zote za serekali na kusababisha kabila kubwa la Oromo kutaka kujitenga.

Rais wa sasa Abiy alipoingia sera yake ilikuwa ni kuiunganisha nchi, Watigrinya wakataka kuiangusha serikali yake lakini kwa masaada wa China na Turkey waliweza kushinda.
huko DRC zaidi ya vikundi 200 vya waasi, nako ni mataifa makubwa, Cameroon nchi Yao imegawanyika pande mbili, nako huko Je?. Mkuu Africa bado Sana.
Dah, wakati mwingine sielewi kama unatania au la.

Congo toka kuuawa kwa Lumumba imekuwa haitawaliki ili madini yaendelee kutoroshwa. Hivi umesahau muda si mrefu gari la UN lilidondoka na kumwaga madini? Sasa UN na madini wapi na wapi?
 
Huwa wanashindwa kutofautisha Uhuru wa kujieleza na ukosefu wa adabu.
emoji23.png
[emoji23
 
🤣🤣🤣🤣….. sounds like a quote from the manifesto of the ruling Workers Party of North Korea…. Kim Jong Un would be so proud of ya right now…🤣🤣🤣🤣
 
Siasa za ovyo, inakuwaje mtu unatukana matusi makubwa namna hii!


🤣🤣🤣🤣🤣…… I wish I can quote the great Rick James…. Cocaine is a hell of a drug….🤣🤣🤣…. But for this one I will just say …. Bhangi is a strong drug my friend….🤣🤣🤣
 
Ukimwambia huu ujinga odinga atakupiga akue
Do you understand the difference between free and Democratic elections with election dispute?…… learn that first then come back so we can conclude this battle…otherwise you are not at the moment intellectually capable of this debate….🤣🤣🤣🤣🤣
 
Do you understand the difference between free and Democratic elections with election dispute?…… learn that first then come back so we can conclude this battle…otherwise you are not at the moment intellectually capable of this debate….🤣🤣🤣🤣🤣
Nenda kamwambie ondinga ajifunze huu ujinga
 
Do you understand the difference between free and Democratic elections with election dispute?…… learn that first then come back so we can conclude this battle…otherwise you are not at the moment intellectually capable of this debate….
Hii mbona hujibu?, au Tanzania ilitoa Rushwa Ili kuipita Kenya?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
…… I wish I can quote the great Rick James…. Cocaine is a hell of a drug….…. But for this one I will just say …. Bhangi is a strong drug my friend….
But this guy represents the behaviour of majority of Kenyans, he was among of your presidential candidates and he ended up 3rd runner. When we say Kenya is very uncivilized society we mean it.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom