Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kwa raha zetu
FB_IMG_1684861542481.jpg
 
Wanavyojiongelesha... eti matter of time till Tz overtakes Kenya economically... economy ipi hasa? Hilo lifake GDP?

Kwamba economically wametupita?

Hawajajijua tulishawapita kwenye kila kitu siku nyingi sana?
Hiyo kauli yao ya kujifariji huwa inanikera sana, eti soon "Tz will overtake us" tuwapite mara ngp? Kila kitu kipo wazi kabisa kwa ss.
 
Back
Top Bottom