Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

ukimaliza kujitafutia self happiness useme
Unaumia ukiwa wapi?

Katarama Marcopolo bus built in Kenya by Kenyans for Tanzanians.
1000241792.jpg
 
nmekwambia show us tanzania buses za marcopolo, unatumia picha ya headlight, means hauna any list ya buses tanzania wanatumia marcopolo, 🤣 🤣 sisi hatutumii izo bati na hata tungekua tunzitumia zisingetoka slums
Jifunze mambo ya magari Kwanza ndio urudi.

Marcopolo bus in Tanzania imported from Kenya.

1000241792.jpg
 
Ulikua umeenda offline sometime back sjui ulikosa bundles, its better urudi tu maaana your over bitter 🤣🤣
Mmezoea kutumia bundles mnadhani watu wote ni maskini like you. I use WiFi kijana, bundles ni ya watu maskini kama watanzania.

But don't worry I'll be around to enjoy your tears.
 
Mmezoea kutumia bundles mnadhani watu wote ni maskini like you. I use WiFi kijana, bundles ni ya watu maskini kama watanzania.

But don't worry I'll be around to enjoy your tears.
oooh i forgot which country was mentioned as 10th most extremely poor nation in the solar system 🤣
 
Panda in supermarket.
Hizo ni vitu tulishafanya kitambo ndio zinawashtua sahii. Kenya ambayo ina international retailers tushtuliwe na a local retailer kama China Square.
Unaongea na matako eeh.? Kitambo ipi ambayo nilishawahi kufanya popoma wewe .?
 
Masenge yamejengewa box like a structure, aka Amahoro design au African style, now yanashangaa kuona Arusha iko na design ya kipekee yanashangaa 😂😂😂😂
Talanta haitajengwa, mark my words 🤣🤣🤣
Karibu tena watchman. Ulishapata simu mpya ya loan? It's been a while
 
Talanta haitajengwa, mark my words 🤣🤣🤣
Karibu tena watchman. Ulishapata simu mpya ya loan? It's been a while
yaaani wabaya sana, ivi watu hawajui talanta is the most modern stadium in the region
 
Back
Top Bottom