Uzuri nchi zinajua football ziko sawa michezo zingine kubwa pia.
Infact FIFA top 20 Wako na strong rugby teams too.
Wanapeana vitasa sasaAmerica walilemewa na cave men Afghanistan after 20 years. Vita sio unavyofikiria mdanganyika. Russia wametwanga Ukraine kabisa yani







Football ni mchezo namba moja ulimwenguni hapa, karibu kila mtu duniani ni shabiki wa football,. Hizo rugby na takataka zingine ni michezo ya ziada na haina wafuatiliaji kabisaUzuri nchi zinajua football ziko sawa michezo zingine kubwa pia.
Infact FIFA top 20 Wako na strong rugby teams too.
Inakaa Kenya au Uganda kabisa hii finishing.Hivi manispaa za Mwanza zimeshindwa kujenga pavement hapo nje?
Kwamba hili jengo Lina maajabu gani we fukara.? Tena usiwe unataja Africa, hakuna chochote kenya ambacho kina top standard in the whole Africa.There is no such a building in Africa
View attachment 2629758
Hizi sub standard usiwe unaeka humu we nyang'auLast mile tarmacking of roads continues in Kenyan villages, estates, slums
View attachment 2629760View attachment 2629761View attachment 2629762
Unapojifanya rafiki na watu wa hulka ya Kagame wenye vested interest in eastern DRC ndo matokeo yake! Angalia muda JPM aliopoteza kujaribu kujenga reli kwenda Kigali! That's where the puzzle lies!Hilo ndio jambo linaloshangaza kwa Uganda, wanataka kujenga SGR kwenda Malaba wakati Kenya imeshindwa kufikisha reli Yao Malaba.
Tuchukulie kwamba Kenya wataweza kufikisha hiyo reli Yao hadi Malaba, Uganda wanajenga reli ya umeme Kama Tanzania, "full automatic", Kenya ni diesel na train zao ni "manual", huo muingiliano upoje?.
Ninachokiona hapa ni Uganda wanataka kujichanganya, wao wangejenga reli kuelekea Rwanda Ili kuunganisha na reli ya Tanzania.
Mkundustan kasharidhika kajengewa barabara na nguzo za umeme humohumo!Hizi sub standard usiwe unaeka humu we nyang'au
Asante kwa kuwa mtazamaji mkubwa wa ntv kenya. Natumai kampuni ya Nation media inakudhaminiKenya is a very good example of a "failure in everything"
A whole year of fighting. You wonder what even was their goalNa walikuwa wanajiita superpower Russia.
Nchi ya upuzi wamelemewa na nchi maskini Eastern Europe Ukraine.
You're comparing apples with mangoes, the USA one was not an invasion. Know the differenceAmerica walilemewa na cave men Afghanistan after 20 years. Vita sio unavyofikiria mdanganyika. Russia wametwanga Ukraine kabisa yani
Mkuu, kwanza hiyo habari ya Uganda kusaini na Yerp markezie Wala haina maana sana, muhimu ni kupatikana kwa pesa, sioni Uganda kupata hiyo pesa kwasababu hakuna muunganiko na Kenya.Unapojifanya rafiki na watu wa hulka ya Kagame wenye vested interest in eastern DRC ndo matokeo yake! Angalia muda JPM aliopoteza kujaribu kujenga reli kwenda Kigali! That's where the puzzle lies!
Tukipata render yake itapendeza..Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan wakati wa uzinduzi wa Ikulu mpya ya Chamwino Dodoma leo amesema baada ya kukamilika kwa Ikulu sasa wanatarajia kujenga jengo la kisasa (Samia Complex) ndani ya eneo hilo kubwa la Ikulu lenye Ekari 8473 na tayari michoro ipo tayari ambapo kwa sasa wanahangaika kutafuta fedha ili ujenzi uanze.
Rais Dkt. Samia amesema “Eneo hili bado kuna kazi ya kufanya na hatua inayofuata ni ujenzi wa jengo la kisasa ambalo Wasaidizi wangu wameliita Samia Complex ambalo litakuwa na ukumbi wa mikutano wa Watu Elfu mbili mpaka Elfu tatu, nyumba za Viongozi hasa Majirani zetu wa EAC na SADC kutakuwa na Zanzibar Lounge, East Africa Lounge, uwanja wa golf, viwanja vya michezo, njia za ndege na sehemu za historia za Viongozi wa Nchi zetu”
#MillardAyoUPDATESView attachment 2629683
Nice move.Mashakahola expect these new look soonest into your stores
View attachment 2629709View attachment 2629710View attachment 2629711View attachment 2629712