LightYagami
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 2,825
- 1,493
you are one sad humanYa kupika na real one wameweka pamoja 😀😀😀
you are one sad humanYa kupika na real one wameweka pamoja 😀😀😀
Duhh hatariKenya's 2017 projected GDP is 55bn
Hahahaha, hawa wakora ni hatari.
Wanadai wako na 70bn ukiwaambia walete source wanaingia mitini wote. Hiyo 70 wamepika ili kujipatia mikopo toka mabenki ya Kimataifa.
A study conducted earlier this year justified 8/10 Kenyans are potential thieves.
Not kisumu its northern kenya
Sikukuelewa vzr broKama kawaida huna akili hamtakuwa nayo
Nijue kiingereza nisijue its non of my busness
Lugha yangu ni kiswahili na kiswahili kimetokana na mababu zangu
Nikuone wewe apo ulierofa mwenye kujitambia lugha za mabwana zenu, waliowatawala miaka60
Utaendelea kuwa mtumwa mpaka unaingia makaburini kwa kujisifu waliokupa mabwana zenu
All great nation speak there own language, angalia China, ufaransa, britain, Korea, Japan
Endelea hivyohivyo kujisifia kuwa unauwezo wa kumridhisha bwana wako vizuri
.Nonsense
Hahahaha
Dahh jamaa kanichekesha kweli
Anamwambia jamaa ati mmejua kiingereza mwaka Jana mnakuja kushindana na sisi
Hakika huu ni ushamba na uzoba uliopitiliza
Kwani kujua kiingeleza ndio nini?
Mbona wachina na wajapan hawajui kiingereza na wanamaendeleo ya hali ya juu kuliko wanaoongea kiingereza?
Kama kuongea kiingereza ndio maendeleo?
Kwanini wengi mnaishi ktk nyumba za MABOKSI NA MABATI tena ndani ya Nairobi.
Huyu mwandishi mbona maneno yake hayanauzani...Yaani mwaka izo GDP full kuchanganya. ...mara 51$ bln ,54$bln sasa actual projection ni ipi
kuna actual and projected eg projected ya kenya ni 55b ya tz this year is 51.6bHuyu mwandishi mbona maneno yake hayanauzani...Yaani mwaka izo GDP full kuchanganya. ...mara 51$ bln ,54$bln sasa actual projection ni ipi
Hohoho, you wish! The IMF October 2017 update put's Kenya's GDP at $78.4bn and Tanzania's at $51.6bn.kuna actual and projected eg projected ya kenya ni 55b ya tz this year is 51.6b