nowadays I don't waste alot of time arguing with these poor Tanzanians. ....naona wanajadiliana wenyewe.
nyinyi sio wakenya wa kwanza kuongea hivyo....hii ndio jf.hata mimi nimejipa shughuli...hawa ni kichwa ngumu sana..nimewaacha tu..








Duh, kweli huyu ni Mkenya,Lupita Nyong'o ndiyo huyu?
![]()
![]()
Hufai kuwa unafurahia na wenzenu wengi wamepoteza kaziUchumi umeyumba
View attachment 616139
She's featuring on the movie black panther which is yet to be released, check out the trailerDuh, kweli huyu ni Mkenya,
But she is talented, I like that.
Wanapiga kelele,jengo lenyewe baya na muundo wa kizamani,kujaza concrete maudongo mengi.Wikipedia ata mi nikitaka naiedit
Hiyo ni public site
Yaan mtu yoyote anaweza kuibadili
Kuna mda mi mwenyewe niliibadilisha
Cha ajab ukisoma wikipedia hyo utaona data tofaut na ukisoma ya tallest in Tz na utaona tofaut ukiandika without antenae
Cha ajab wakenya mnajifanya wajuaji
Nimefika kenya lkn seriously nasema na najua UAP ni sawa na MILLENIUM TOWER kwa muonekano, umezid kidogo kwasabab ya kiantenae
Kuna theoretical na practical
MILLENIUM TOWER![]()
UAP
![]()
Majengo ya dar yanakaa apartments na ni cbd....hamna ubunifuWanapiga kelele,jengo lenyewe baya na muundo wa kizamani,kujaza concrete maudongo mengi.
NAONA UNAJARIBU KUWACHANUA HAWA BONGOLALA...Pia cape town kuna slum kubwa but hamwezi kamwe jicompare nao
Wikipedia ata mi nikitaka naiedit
Hiyo ni public site
Yaan mtu yoyote anaweza kuibadili
Kuna mda mi mwenyewe niliibadilisha
Cha ajab ukisoma wikipedia hyo utaona data tofaut na ukisoma ya tallest in Tz na utaona tofaut ukiandika without antenae
Cha ajab wakenya mnajifanya wajuaji
Nimefika kenya lkn seriously nasema na najua UAP ni sawa na MILLENIUM TOWER kwa muonekano, umezid kidogo kwasabab ya kiantenae
Kuna theoretical na practical
MILLENIUM TOWER![]()
UAP
![]()
Ongea uongeavyo lkn jua2 kuwa length of floors dunia nzima huwa ni standardHAYA HEBU JARIBU KU EDIT HII BASI..NYINYI NI WAJUAJI SANA...HATA ILE KITU HAMJUI MNASEMA MNAJUA..ATI JU SASA MUMEJUA KIINGEREZA MWAKA ULIOPITA MNAKUJA KU COMPETE NA SISI
The Tallest Buildings In Africa
Where is TPA Tower ?your list is outdates palHAYA HEBU JARIBU KU EDIT HII BASI..NYINYI NI WAJUAJI SANA...HATA ILE KITU HAMJUI MNASEMA MNAJUA..ATI JU SASA MUMEJUA KIINGEREZA MWAKA ULIOPITA MNAKUJA KU COMPETE NA SISI
The Tallest Buildings In Africa

Your list is outdatedHAYA HEBU JARIBU KU EDIT HII BASI..NYINYI NI WAJUAJI SANA...HATA ILE KITU HAMJUI MNASEMA MNAJUA..ATI JU SASA MUMEJUA KIINGEREZA MWAKA ULIOPITA MNAKUJA KU COMPETE NA SISI
The Tallest Buildings In Africa
Lipeni kodi mfate sheria😀😀😀😀😀Hufai kuwa unafurahia na wenzenu wengi wamepoteza kazi
HahahahaOngea uongeavyo lkn jua2 kuwa length of floors dunia nzima huwa ni standard
Magorofa yote huwa na floor length almost ileile
Sikulaumu kuwa na upeo mdogo wa kufikiri najua mnadhani kenya imeizid Tanzania kwa kuedit Wikipedia
Kama kawaida hawana akiliHahahaha
Dahh jamaa kanichekesha kweli
Anamwambia jamaa ati mmejua kiingereza mwaka Jana mnakuja kushindana na sisi
Hakika huu ni ushamba na uzoba uliopitiliza
Kwani kujua kiingeleza ndio nini?
Mbona wachina na wajapan hawajui kiingereza na wanamaendeleo ya hali ya juu kuliko wanaoongea kiingereza?
Kama kuongea kiingereza ndio maendeleo?
Kwanini wengi mnaishi ktk nyumba za MABOKSI NA MABATI tena ndani ya Nairobi.
Nimeiona joh, boonge ya movie kwenye trailer, soo much hype, Can't wait.She's featuring on the movie black panther which is yet to be released, check out the trailer