ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 82,418
- 88,511
Swala.la Haki na msimamo ni mambo mawili tofauti,tatizo akili huna na unadakia mambo..You are a dumb man I ever met[emoji706] wewe si ndio unasema JPM sijui alikua atendi haki kwa poticians and stuffs and that alikua haambiliki leo hii Mwigulu anaambiwa ukweli kuwa yeye ni dhaifu na anaambiwa hizo hadi na wanasiasa wenzake wa CCM unasema kuwa anafanyiwa figisu!!! Na kuwa unampenda that haterekeki!! Usijali tushajua upo hapa kutetea upande fulani huku ukikandamiza na kusema vibaya marehemu.
Now naelewa kwanini watz nguli humu walikupuuza wewe ni dumb[emoji706]
Huwezi kumhukumu mtu Kwa Kauli mbaya na kama.ni ishu ya Kauli mbali basi nyie mashabiki wa Mwendazake mumeanza kumhukumu huyo JPM wako..
Hoja Iko pale pale kwamba Mwigulu anasimamia maamuzi ya Serikali tena yaliyopitoshwa sio tuu na Baraza la Mawaziri Bali na Bunge..
Hoja ya TRA inapata kiburi Kwa sababu ya boss wao Mwigulu inatoka wapi? Hoja ya eti Mwigulu anadharau Wabunge inatoka wapi? Ndio kero ya wafanyabiashara hiyo?
Hizo ni siasa uchwara za wajinga na wapuuzi ambao Wana malengo Yao ya Kisiasa Kwa mgongo wa tatizo..
Leta hapa ushahidi wa Mwigulu na hizo shida za TRA tuone wewe kima wa Saanane NP..
Haambiliki Kwa lipi hasa? Hizo Sheria Huwa anawalazimisha kupitisha huko Bungeni? Una fursa ya ku block Sheria mbovu harafu unakuja kulalamika ,una akili au Matope?
Ndio maana namkubali Mwigulu Kwa sababu nafanana nae character,Huwa hajali mnaongea nini.ilimradi kina Tija Songa mbele..
Yaani hapa unajisumbua,unune,utukane sitobadili msimamo wangu.Leta ushahidi wa kuhusika Kwa Mwigulu na operations za TRA.