Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wadanganyika hawawezi protest juu ya gharama ya kodi sababu ya uoga ata heri wafunge maduka waende hasara. Wanaume wanaogopa CCM polisi maumbwa nkt! kazi ni kutukana wakenya hapa jamii forums sababu hawawezi pigwa ngumi ya meno nyuma ya keyboard. Ihiii!
Washa tire matikati ya mwendokasi
View attachment 2625287
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
This is a fascinating piece of architecture. Was it designed to look like a cologne bottle?
IMG_4666.jpeg

IMG_4672.jpeg
 
ICT CS says over 1 million $40 smartphones locally-assembled in Kenya's Konza City, Machakos are set to be rolled out within two months.

This place has started showing signs of economic viability before its even finished [emoji4]
 
Swala.la Haki na msimamo ni mambo mawili tofauti,tatizo akili huna na unadakia mambo..

Huwezi kumhukumu mtu Kwa Kauli mbaya na kama.ni ishu ya Kauli mbali basi nyie mashabiki wa Mwendazake mumeanza kumhukumu huyo JPM wako..

Hoja Iko pale pale kwamba Mwigulu anasimamia maamuzi ya Serikali tena yaliyopitoshwa sio tuu na Baraza la Mawaziri Bali na Bunge..

Hoja ya TRA inapata kiburi Kwa sababu ya boss wao Mwigulu inatoka wapi? Hoja ya eti Mwigulu anadharau Wabunge inatoka wapi? Ndio kero ya wafanyabiashara hiyo?
Hizo ni siasa uchwara za wajinga na wapuuzi ambao Wana malengo Yao ya Kisiasa Kwa mgongo wa tatizo..

Leta hapa ushahidi wa Mwigulu na hizo shida za TRA tuone wewe kima wa Saanane NP..

Haambiliki Kwa lipi hasa? Hizo Sheria Huwa anawalazimisha kupitisha huko Bungeni? Una fursa ya ku block Sheria mbovu harafu unakuja kulalamika ,una akili au Matope?

Ndio maana namkubali Mwigulu Kwa sababu nafanana nae character,Huwa hajali mnaongea nini.ilimradi kina Tija Songa mbele..

Yaani hapa unajisumbua,unune,utukane sitobadili msimamo wangu.Leta ushahidi wa kuhusika Kwa Mwigulu na operations za TRA.

Sema nini, we jamaa huenda ni kweli dishi limecheza kiaina , ila fresh tu mkuu. Maisha tu Haya.
 
Wewe mbwa sisi ni taifa la watu waliostaarabika, hatatudai haki kwa kuandamana kwa kuchoma moto mali za watu, au kupigana hovyo na police barabarani..

Hizo vitu mnafanya huko kwenu zinanikumbusha zile movements kipindi cha Industrial revolution in British.. ile movement ilioitwa luddism 🤣🤣🤣 nyinyi ndio mko stage hiyo bado hadi kwenye dunia ya sasa.

Angalia jinsi bongo tunavyotatua matatizo yetu.. 👇.

Kama nchi z maana FRANCE, UK, US, HONG KONG etc watu wanaprotest sembuse nchi maskini ya kiafrika inayonuka mavi!!!!
Na unajipiga kifua hapa ukijiita mwanaume kamili!!
Wacheni uoga, kuweni wanaume na mtoke barabarani.
 
Kama nchi z maana FRANCE, UK, US, HONG KONG etc watu wanaprotest sembuse nchi maskini ya kiafrika inayonuka mavi!!!!
Na unajipiga kifua hapa ukijiita mwanaume kamili!!
Wacheni uoga, kuweni wanaume na mtoke barabarani.
Protesting" not the same as demonstration, huna elimu wewe. Hao wamefunga duka zao Kama njia ya ku-protest na serikali imewasikiliza.

Kenya mnapigwa risasi na polisi na kuuliwa, maduka yanavunjwa na kuibiwa, watu wanakamatwa na kuwekwa ndani bila sababu za msingi na bado hamsikilizwi na bado bei za bidhaa zinazidi kupunda.

By the way, kwanini ninyi wakenya lazima mtaje nchi za Ulaya Ili kuonyesha uhalali wa jambo mnalolifanya, hamjiamini au "Kenya not yet Uhuru?", sio Kila linalofanywa na wazungu lazima muige, mbona hamuiigi ushoga kwasababu huko ulikotaja wameruhusu?, Punguzeni ujinga wenu.
 
Kunyaland mtarudi tuu hapa hapa Tanzania [emoji16][emoji16]
Wamesharudi kuna mahali nimesoma Governor wa Nairobi amewaomba wafanyabiashara wa Tanzania kutoka Karagwe na Ruvuma wamuuzie tani 34 za mahindi. Na wamefikia makubaliano.

Hawa wa humu wanapiga piga kelele tu lakini nchi yao(Viongozi wao) inaujua umuhimu wa Tanzania.
 
Back
Top Bottom