ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Hii plate number ya wapi??🤣🤣🤣
Hii plate number ya wapi??🤣🤣🤣
Umefanyiwa renovation ya kijua kali!Think about it, This Kasarani Stadium was built in 1982. Mkapa in Dar is barely 10 years Old, ishakuwa bikizee.
Respect
View attachment 2620657View attachment 2620658View attachment 2620659View attachment 2620660View attachment 2620661
Huyo membe hakuna haja ya kumjadili alikuwa mpigaji kama wapigaji wengine, alafu alikuwa anaongea pumba sana, hawezi kujieleza nilimsikiliza kipindi kile anaomba kura CCM za kuwa mgombea urais yn ni pumba tupu.Na kama ni kweli pia aliyoyasema mzee baba membe, we unadhani Magufuli aliamua tu kumkazia mwana pasi na sababu za msingi.?
Mimi sijawahi na sitokuja kumkubali huyo mtu wenu,I consider him a disaster kwenye maendeleo, welfare na utengamano wa kijamii..Mkuu, nilijibu baada ya kusoma hizo tweets za mazungumza ya Bernard Membe na mwandishi wa habari, ndio sababu nikasema "Kama hayo aliyosema Membe ni kweli", basi Magufuli alikosea.
Mkuu, wengi wetu tunampenda Sana Magufuli, Ukiacha Nyerere, sidhani Kama Kuna rais wa kumlinganisha na Magufuli, sidhani Kama ndani ya kizazi chetu atatokea tena Kama yeye, lakini tukubali ukweli kwamba alikua na mapungufu makubwa Sana katika demokrasia na diplomasia.
Ni katika kipindi chake ambapo Tanzania ilishuka Sana katika "rank ya demokrasia duniani", tumeshuhudia katiba ikifinyangwa sana, watu wengi Sana wamepotea katika kipindi chake bila maelezo.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Wacha kusema "will buys" na kiingereza chako kibovu! leta Tuzo bus ya Gor Mahia!
Photoshopping hamna timu Ukunyani ina bus kama hilo! Hata huo uwanja in the background!Hii plate number ya wapi??🤣🤣🤣
View attachment 2620724
Somali moneyKeep an eye on South C. WESTLANDS should watch out. I have never seen a place develop so fast!!!
View attachment 2620670
View attachment 2620671
Kwa nini unafanya uhuni wa wazi wazi?
Mkuu, hao hao unaowaita "westerners", ndio hao hao ambao data zao zilipokua zinasema Tanzania inafanya vizuri Sana kiuchumi duniani tulikua tunazikubali na kuziamini, waliposema Tanzania tumefanikiwa kuingia uchumi wa kati mapema kuliko tulivyotarajia kutokana na sera nzuri na usimamizi bora wa Magufuli, tulipiga vigelegele na kufurahi Sana.Ndio maana niliiweka very simple kuwa huna vyanzo vya info nyeti. Ila kiuhalisia ni kuwa, pia unamapungufu makubwa kwenye kuanalaiz mambo vyeti yanayoitaji umakini mpana.
Rank: nani anapanga hizo ranks? those rating agencies ni za westerners ambao ukiparurana nao kudai haki yako wanapo kunyonya ndio shida. Ndio maana baada ya kujikomba huko na kuruhusu ufisadi, walikuja: Moody's in Tanzania to evaluate credit worthiness
Watu kupotea sio tija kwakua wanapotezwa na watu wanaopinga serikali kwa lengo la kuichafua serikali. Zitto alisema, "sasa tusifanye siasa zilizo pelekea kupigwa marufuku baada ya maridhiano na serikali ya Samia.
ni kama wewe unapinga ukabila wa JPM na katumia zaidi ya $1 bln Chato!Mkuu, hao hao unaowaita "westerners", ndio hao hao ambao data zao zilipokua zinasema Tanzania inafanya vizuri Sana kiuchumi duniani tulikua tunazikubali na kuziamini, waliposema Tanzania tumefanikiwa kuingia uchumi wa kati mapema kuliko tulivyotarajia kutokana na sera nzuri na usimamizi bora wa Magufuli, tukipiga vigelegele na kufurahi Sana.
Ndani ya kipindi chake, Tanzania ilipanda katika vipimo vya kupambana na Rushwa, matumizi bora ya pesa za serikali, uwajibikaji serikalini, uboreshaji wa huduma za kijamii na sera nzuri za madini.
Kwa ujumla, hoa unaowaita "Westerners", walisifia karibu maeneo yote isipokua demokrasia na haki za binadamu tu. Mkuu Kama kweli wewe upo vizuri katika kufanya "analytical thinking", huwezi kukubaliana na yale mazuri yanayosemwa na "westerners", lakini wanapotaja mapungufu unapinga.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Mkuu, Kama kweli alipendelea Chato, huo sio ukabila, huo ni ubinafsi au "Nepotism", kwasababu wasukuma wapo maeneo mengi, kwanini huko asipeleke upendeleo?.ni kama wewe unapinga ukabila wa JPM na katumia zaidi ya $1 bln Chato!
Na hapa serekali wameficha ukweli but iko zaidi ya 400 huko![]()
Kenya starvation cult death toll exceeds 200
The death toll in an investigation linked to a Kenyan cult that practised starvation has climbed to 201.www.thecitizen.co.tz
MY TAKE
Hii maneno inaenda gonga 300!
Wanatakiwa wapungue, wapo wengi sana alafu wazembe watatupa shida kuwalisha hawa kima.Na hapa serekali wameficha ukweli but iko zaidi ya 400 huko