Azam wanaonyesha ligi ya kenya.. afu anatokea mtu kutoka kisumu sijui wap.. anasema media zao ziko vizur..
Na hapa azam atapiga hela vizur sana huko kenya; atauza decoders kwa wingi sana
Tumia terminology unayotaka wewe mjomba lakini jua hii fence ni ngumu ndugu huwezi kwea .. DOM government city 👇u guys have nothing in comparison to DODOMA.. hizi cluster zipo nne kwenye huu mjiBarabara za Konza got better horizontal infrastructure than these …. I know you will never understand… make google your friend kilaza…
Hivi Kuna mkamilifu hapa duniani?Hajui kutunza siri huyo ....
Umekosea, sio Africa mashariki, ni Africa nzima. Mpinzani wake ni DSTV tu Africa hii!!Azam ni media house kubwa hapa Africa mashariki tena it's far best kuliko takataka yoyote EA
Nop!Magufuli alikua na mapungufu makubwa katika eneo zima la mahusiano(Hard personality), hilo halipingiki.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Inaboa sana aiseeHili suala la app kushindwa kufungua picha linakera sana, kuna mtu atasema tumia chrome, mm sipendi kutumia chrome napenda kutumia app. Sio lazima wote tutumie chrome thus y kuna choice, kama hawataki kuwe na choice waifute app isiwepo.
Ni muda mrefu tumelalamika lkn hakuna ufumbuzi, JF imekuwa inaboa kuingia kwa sisi watumiaji wa app ndiyo maana naona uvivu kuingia jf siku hizi, walifanyie kazi haraka au tuendelee kuingia mara chache chache kama hivi mwishowe tukaushe kabisa mana chrome sio user friend kwa phone labda PC.
Cc Maxence Melo Invisible Paw Moderator
Magufuli alikua na mapungufu makubwa katika eneo zima la mahusiano(Hard personality), hilo halipingiki.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app