Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

👏👏👏🇹🇿🇹🇿🇹🇿
20230513_083114.jpg
 
Kwani ni ya free?…. We buy…I thought you moved to capitalism … without us buying from your farms si mtakufa na umaskini …your farmers will demonstrate in the streets…. Jaribu kufunga uone!…
Wacha ujinga kwani nyie tu ndio soko? BTW tuna the most modern silos za kuhifadhi grains in the region na tunauza kila mahali! Ukiacha South Sudan saahii Sudan wanazichapa hamna anayekumbuka kulima! Around the neighbors, Uganda tu ndo wanajitosheleza chakula!
 
Huu mfumo wa fainali kuchezwa nyumbani na ugenini Mimi si upendi hauleti uwiano sawa.Pamoja na kuwa logistics za Africa ni ngumu lakini ni muhimu wachezaji wetu wajifunze namna ya kucheza fainali moja.Tunatia huu mfumo lakini world cup,Fifa Club world cup.Hakuna huu mfumo hautuwezi shinda huko.
Huwezi shinda wewe timu gn kwanza, Yanga inashinda popote iwe nyumbani au ugenini, tumeshinda Uarabuni, tumeshinda Africa ya kati na tumeshinda Africa magharibi tukiwa ugenini, hakuna wa kutuzuia this time, japo mm binafsi sipendi huu utaratibu wa home and away finals ni kupitwa na wakati.
 
Huwezi shinda wewe timu gn kwanza, Yanga inashinda popote iwe nyumbani au ugenini, tumeshinda Uarabuni, tumeshinda Africa ya kati na tumeshinda Africa magharibi tukiwa ugenini, hakuna wa kutuzuia this time, japo mm binafsi sipendi huu utaratibu wa home and away finals ni kupitwa na wakati.
Mimi siongelei Yanga naongelea Mfumo.Ulibadilishwa kuwa mechi moja Al Alhly alipopigwa na Wydad Morroco.Wamisri wakaloby hadi tunardi kwenye mechi mbili kwa sababu timu za Misri zinaona hauwabebi
 
Hili suala la app kushindwa kufungua picha linakera sana, kuna mtu atasema tumia chrome, mm sipendi kutumia chrome napenda kutumia app. Sio lazima wote tutumie chrome thus y kuna choice, kama hawataki kuwe na choice waifute app isiwepo.

Ni muda mrefu tumelalamika lkn hakuna ufumbuzi, JF imekuwa inaboa kuingia kwa sisi watumiaji wa app ndiyo maana naona uvivu kuingia jf siku hizi, walifanyie kazi haraka au tuendelee kuingia mara chache chache kama hivi mwishowe tukaushe kabisa mana chrome sio user friend kwa phone labda PC.

Cc Maxence Melo Invisible Paw Moderator
 
Mimi siongelei Yanga naongelea Mfumo.Ulibadilishwa kuwa mechi moja Al Alhly alipopigwa na Wydad Morroco.Wamisri wakaloby hadi tunardi kwenye mechi mbili kwa sababu timu za Misri zinaona hauwabebi
Mbn hapo tuko pamoja, ila mm nmegusia pale uliposema hatushindi huko nasema tunashinda, alafu hawa mbwa waarabu wanaharibu sana soka la Afrika mbwa hawa na mpira wenyewe hawajui, ndiyo maana timu za Tz tumeanza kuwakanyaga huko huko kwao.
 
Back
Top Bottom