Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Arusha.
IMG_8075.jpg
 
Hili suala la app kushindwa kufungua picha linakera sana, kuna mtu atasema tumia chrome, mm sipendi kutumia chrome napenda kutumia app. Sio lazima wote tutumie chrome thus y kuna choice, kama hawataki kuwe na choice waifute app isiwepo.

Ni muda mrefu tumelalamika lkn hakuna ufumbuzi, JF imekuwa inaboa kuingia kwa sisi watumiaji wa app ndiyo maana naona uvivu kuingia jf siku hizi, walifanyie kazi haraka au tuendelee kuingia mara chache chache kama hivi mwishowe tukaushe kabisa mana chrome sio user friend kwa phone labda PC.

Cc Maxence Melo Invisible Paw Moderator
ni kweli kabisa mkuu
crome inazingua kwa upande wa smart ....wafanyie marekebisho kwenye app...
 
Kwa hiyo nongwa yake na Magufuli ni sababu hakumsaidia membe kupata cheo chake huko commonwealth? Hicho cheo kina faida gani kwa nchi?
Mkuu, Kama ni kweli hayo aliyosema Membe, halikuwa sawa hata kidogo. Hivi hata ungekua wewe umefanyiwa hivyo, ungejisikiaje?.Hicho ni miongoni mwa vyeo vikubwa Sana duniani.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu, Kama ni kweli hayo aliyosema Membe, halikuwa sawa hata kidogo. Hivi hata ungekua wewe umefanyiwa hivyo, ungejisikiaje?.Hicho ni miongoni mwa vyeo vikubwa Sana duniani.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Na kama ni kweli pia aliyoyasema mzee baba membe, we unadhani Magufuli aliamua tu kumkazia mwana pasi na sababu za msingi.?
 
Capitalism has failed you terribly, now you are a direction less country trying to copy socialism principle by forcing people to contribute money from their salaries to build houses for them and distributing free food for starving communities.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
These guys jumped the stage from communalism they went straight to capitalism embracing things imposed to them by their colonial masters but now they are staggering just like a drunken person adopting some of socialist policies
 
Na kama ni kweli pia aliyoyasema mzee baba membe, we unadhani Magufuli aliamua tu kumkazia mwana pasi na sababu za msingi.?
Hatujasikia upande wa pili kwahiyo tunasema "Kama ni kweli hayo anayosema". Lakini ukifuatilia huo mtiririko, inaonekana hakuwa yeye peke yake waliofanyiwa hivyo, amemtaja balozi Mulamula na huyo aliyekua mume wake Vicky Kamata ambaye kwa Sasa ni marehemu

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
These guys jumped the stage from communalism they went straight to capitalism embracing things imposed to them by their colonial masters but now they are staggering just like a drunken person adopting some of socialist policies
Confused nation.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom