Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hicho kituo cha brt kimejengwa kimaskini sana.Sehemu FB_IMG_16814715359420354.jpg FB_IMG_16814715359420354.jpg FB_IMG_16814715157696101.jpg FB_IMG_16814715253445622.jpg FB_IMG_16814715428613691.jpg
FB_IMG_16814715359420354.jpg
FB_IMG_16814715359420354.jpg
FB_IMG_16814715157696101.jpg
FB_IMG_16814715253445622.jpg
FB_IMG_16814715428613691.jpg
FB_IMG_16814715359420354.jpg
FB_IMG_16814715359420354.jpg
FB_IMG_16814715359420354.jpg
wangejenga hivi kama Jakarta wanavojenga. Kituo kingefanana na mandhari ya hapo.
 
Uzuri Terminal iko town, maeneo ya kupaki kibao, alafu pia sio LAZIMA kila mtu aje na gari binafsi kwenye train station, ndio maana unaona hapo terminal ipo linked na BRT. Bongo tunataka kuingia kwenye zama za kuacha kutegemea private cars for commuting, tunataka kuwa mabingwa wa effective public transport ukanda huu. Gari unaacha nyumbani lakini unasafiri kwa raha mustarehe.
Terminal iko linked na BRT na commuter train hakuna haja ya kwenda na private car.
 
Ebana kuna taarifa nimeskia mradi wa bomba la mafuta tanga hoima pesa anatoa mchina baada ya standard chartered kujitoa naskia anafadhili mchina

Kumbe wakenya walituma watu wao waupige vita huo mradi kwasababu unaharibu mazingira sasa kitu najiuliza hayo mazingira ni ya tanzania au ya kenya ?? Yani hawa watu ni wanyama kabisa aloo alaf munaenda kuwaokoa huko sudan kwa sababu zipi??

Sasa mchina kaamua kutoa pesa mradi uendelee haya wamepata faida gani sijui

Na hayo mafuta yakitoka hakuna kiwauzia, tutawauzia wachina tu!

Uta0na povu litakavyowatoka!!
 
Business
Tanzania's CRDB Bank gets licence to operate in DR Congo
Friday, May 05, 2023


By Josephine Christopher
Josephine Christopher is a business reporter for The Citizen and Mwananchi newspapers.
Mwananchi Communications Limitted
Summary

CRDB Bank will start with a branch in Lubumbashi and expand its network to major cities such as Kinshasa, Lualaba, Kasai, Kisangani, Tanganyika, and North and South Kivu within the first three years of its operations in that country.

Dar es Salaam. CRDB Bank Plc said yesterday that it has finally secured a licence to operate in the Democratic Republic of the Congo (DRC), expanding its foothold in the East African Community region. DR Congo is the newest member of the EAC.

CRDB already operates in Burundi.
DRC’s central bank, known in French as Banque Centrale du Congo (BCC), granted the licence to CRDB Bank during a special meeting between its management and that of the delegation of CRDB Bank Plc, led by chief finance officer, Mr Fredrick Nshekanabo.

CRDB Bank Plc said in a statement that upon granting the licence, the First Vice Governor of the BCC, Dieudonné Fikiri Alimasi, congratulated the CRDB Bank for the step, saying that it will boost competition in the delivery of financial services in the DRC.

“We were happy to receive your request to open a subsidiary because of the existing cordial relations between our two countries. I congratulate you for the cooperation you provided in everything we asked for,” he said.

According to the statement, Mr Alimasi also stated that the BCC has also approved the appointment of Ms Jessica Nyachiro as Managing Director of the CRDB Bank’s DRC subsidiary.

On her part, Ms Nyachiro said that CRDB Bank would comply with the needs and requirements of the DRC market in the same manner as it does with Tanzania and Burundi.

She explained that CRDB Bank will start with a branch in Lubumbashi and expand its network to major cities such as Kinshasa, Lualaba, Kasai, Kisangani, Tanganyika, and North and South Kivu within the first three years of its operations in that country.

“Our bank is investing heavily in digital systems as well as a network of branches, and we also expect to use alternative delivery channels such as CRDB Wakala, SimBanking, and Internet banking to connect many Congolese people to our services,” said Ms Nyachiro.

CRDB Bank Plc announced last year that it would enter the DRC market with a capital of $30 million (about Sh70 billion). CRDB Bank has a 55 percent stake in the DRC subsidiary, while the Norwegian Investment Fund for Developing Countries (Norfund) and the Danish Investment Fund for Developing Countries (IFU) own 22.5 percent equity each.

 
Back
Top Bottom