babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 12,905
- 34,906
Safi.
SADC coordinated force yes as we cannot risk our soldiers lives under the leadership of army clowns disguised as EAC rapid force. Mliosoma Cuba nadhani mtakuwa mmenielewa.
Si kwa jiografia wala "vibes", hiyo miji haifanani kabisa na Nairobi.Nairobi always gives me the vibes of Atlanta or the suburbs of Kansas City Missouri….I have lived in both…
Ni kweli ni vizuri kutumia hizo public transport.Uzuri Terminal iko town, maeneo ya kupaki kibao, alafu pia sio LAZIMA kila mtu aje na gari binafsi kwenye train station, ndio maana unaona hapo terminal ipo linked na BRT. Bongo tunataka kuingia kwenye zama za kuacha kutegemea private cars for commuting, tunataka kuwa mabingwa wa effective public transport ukanda huu. Gari unaacha nyumbani lakini unasafiri kwa raha mustarehe.
Kilio cha Mbwa Koko, mwenye mali kaamka dalali anahaha……na bado 😂😂😂Kwanini wakenya wanawaogopa wa Tanzania hivi siku hizi? What happened?
Halafu wanavyosemaga wana most skilled human capital in the region huwa wanamaanisha nini? 🤔
Skilled ndio majengo yabomoke kila saa?
Skilled ndio kuwa na potholes kila baada ya inches 7 barabarani?
Skilled wameshindwa kutackle njaa?
View attachment 2616196View attachment 2616197View attachment 2616198
Wafanyakazi bado wana space kwenye ile ofisi yao ya zamani, kumbuka HQ ofisi inahamia Dodoma, so lile jengo litakuwa vacant soon na space ya kutosha.Parking ndogo sana ile. Yani magari ya wafanyakazi tu yanajaza parking yote ile!
Skilled human nye nye! Hiyo angular English yao ndio inawafanya wajihisi skilled?Kwanini wakenya wanawaogopa wa Tanzania hivi siku hizi? What happened?
Halafu wanavyosemaga wana most skilled human capital in the region huwa wanamaanisha nini? 🤔
Skilled ndio majengo yabomoke kila saa?
Skilled ndio kuwa na potholes kila baada ya inches 7 barabarani?
Skilled wameshindwa kutackle njaa?
View attachment 2616196View attachment 2616197View attachment 2616198