Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

The largest state house in Africa
D3B388F5-E4C6-4C66-853E-85773B388951-705x420.jpg
8292370A-17CE-4C1D-A390-3CB815A50851-1-706x420.jpg
2A5D691B-0ABC-4BEC-BF7E-6CAD44B9F3B0-705x420.jpg
 
waste of money.

Kwa nchi kama rwanda, hela hiyo ingefanya makubwa kwenye sector muhimu zenye kuwagusa watu moja kwa moja.

Bajeti ya Rwanda sidhani kama nafika $2B, so ni obvious mradi huu kunamtu anaulipia halafu watalipa pesa ndefu kwa miaka zaidi ya 40, wakati ndani ya 10/15 years nchi kibao wanaweza fanya rinoveshen za nguvu za airport zao kubwa na kuzidi mradi huo kwa 300% jkwa uzuri.

Senseless!
Uhalisia ni mdogo sana hapa!mara nyingi miradi mikubwa kama huanza na facts za Takwimu (Statistical Data), historical data za miaka at least kumi iliyopita idadi ya abiria uliowahudumia wa ndani na nje! Idadi ya miruko ya ndege na aina ya ndege zilizotua na kuruka, Idadi ya mizigo kwa tani,Peak Hours then mnafanya forecast and projections kwa miaka kadhaa mbele kuanzia hapo sasa ndo mnaeza anza kupata picha mnataka kiwanja chenu kiwe na capacity ya kiasi gani na hicho kiwanja kitatumika kwa miaka mingapi kabla ya kuendelezwa tena. Ni wastage of funds kwa maana, ukiachana na gharama za kukijenga kuna gharama ya kuki-maintain pia hapo ndo kimbembe!
 
Uhalisia ni mdogo sana hapa!mara nyingi miradi mikubwa kama huanza na facts za Takwimu (Statistical Data), historical data za miaka at least kumi iliyopita idadi ya abiria uliowahudumia wa ndani na nje! Idadi ya miruko ya ndege na aina ya ndege zilizotua na kuruka, Idadi ya mizigo kwa tani,Peak Hours then mnafanya forecast and projections kwa miaka kadhaa mbele kuanzia hapo sasa ndo naeza anza kupata picha mnataka kiwanja chenu kiwe na capacity ya kiasi gani na hicho kiwanja kitatumika kwa miaka mingapi kabla ya kuendelezwa tena. Ni wastage of funds kwa maana, ukiachana na gharama za kukijenga kuna gharama ya kuki-maintain pia hapo ndo kimbembe!
Less than $800M wanaweza pata kiwanja cha ndege kikubwa cha nearly 15M capacity.

Wanachofanya hapo, ni kuwa na kiwanja kizuri ajabu! Hela nyingi hapo inekwenda kwenye Mbwembwe za security na mapambo ya kwenda.
 
Less than $800M wanaweza pata kiwanja cha ndege kikubwa cha nearly 15M capacity.

Wanachofanya hapo, ni kuwa na kiwanja kizuri ajabu! Hela nyingi hapo inekwenda kwenye Mbwembwe za security na mapambo ya kwenda.
Maintaining;
1. Cooling system, yale machiller muda wote yanaungurumaa 24/7
2. Lighting muda wote constantly
3. Maji
4. Up-keeping gardens na usafi wa jengo kwa ujumla
5. Security Matters
6. Masystem FIDS,Check in, Immigration, BHS........
International Standards shall be adhered to...
 
Back
Top Bottom