Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kipigo tulichowapiga Wakenya wanashindwa kuelewa pesa tunatoa, hii inaitwa The Magufuli effect, kuna watu hawamuelewi yule mnuka mavi anayemtukana Magu kila siku anamuita Magufala, jibu ni kwamba anajua fika hii kasi ya kuifanya nchi yake ionekane kituko kwa Tz imeanzishwa na Magu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hawa Wakunya mwisho wa hii battle ni mwaka huu, hakuna uwiano kabisa. Sisi tunaweka miradi ya multi billions of dollars wao wanaweka vighorofa hivyo hivyo kila siku maskini ya Mungu.
😂😂😂😂 halafu hata hawajishtukii, kweli kunyaland imefilisika haina mradi hata mmoja wa kuonesha masikini
 
Kipigo tulichowapiga Wakenya wanashindwa kuelewa pesa tunatoa, hii inaitwa The Magufuli effect, kuna watu hawamuelewi yule mnuka mavi anayemtukana Magu kila siku anamuita Magufala, jibu ni kwamba anajua fika hii kasi ya kuifanya nchi yake ionekane kituko kwa Tz imeanzishwa na Magu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂😂 atoe uma aweke kijiko
 
Wakenya mmetutia aibu EAC
20230430_064647.jpg
 
Back
Top Bottom