islander M
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 748
- 2,064
Hii kitu ni Kali Sana, sijui wakenya watajificha wapi zikifika bongo
Hii haina cha kujificha, ni mwendo wa kwenda kuwachomoa na kuwapa za uzo.Hii kitu ni Kali Sana, sijui wakenya watajificha wapi zikifika bongo
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Wamebaki kuringia na kale kapicha kao ka expressway🤣🤣Hii kitu ni Kali Sana, sijui wakenya watajificha wapi zikifika bongo
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Thread ishaanza kua chungu sasa😆😆 kuna mambo munaona hayakai sawa au??Watanzania hapa wamebakia kujiliwaza na kujiongelesha wakiomba wajibiwe![]()
Jf(kenya news section) ilitupa credibility kitambo, imejaa wajinga kama weweThread ishaanza kua chungu sasakuna mambo munaona hayakai sawa au??
🤣🤣🤣🤣🤣 bila shaka unaongea kwa hasira na chuki iliojaa wivuJf(kenya news section) ilitupa credibility kitambo, imejaa wajinga kama wewe
Kakonda kweli kweli, typically mturkanakunyaland wanapitia wakati mgumu sana aisee, huyu rais kawa kama mturkana, akichungulia website ya BoT namna ksh inawekwa mtu kati na tsh anapoteza kilo 2 at the first sight
View attachment 2603296








Credibility ya kuchukua majengo ya watu huko nje na kusema yapo kunyaland. Haaaaaa, hakuna rangi mtaacha kuona . Wengine walikua wanadownload hela toka mtandaoni wanasema zaoJf(kenya news section) ilitupa credibility kitambo, imejaa wajinga kama wewe
Najua unacheka kwa maumivu makali sana😆😆Naona ghafla bin vuu nyoka kageuka gheko 😂😂😂😂😂
Tuliwaambia watz tuko very smart wakabisha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ule mzigo wetu refubrished wa ghorofa unapanda meli tayari kutua Bongo.
View attachment 2603668
Hawa Wakunya mwisho wa hii battle ni mwaka huu, hakuna uwiano kabisa. Sisi tunaweka miradi ya multi billions of dollars wao wanaweka vighorofa hivyo hivyo kila siku maskini ya Mungu.Kuna kichaa alisema railway yetu haisupport double stack 😅😅😅View attachment 2603680
Walitaka sm moja mkuu, now wanakuambia mradi hauishi tu since 2017, wanasahau SGR yetu ni ya umeme 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ni hawa hawa vichaa waliosema tuwaonesha km moja(1) ya SGR au ni group nyingine?😂😂
Nyie wanuka mavi si mlisema SGR yetu hairuhusu double stack, sisi Watz ni very smart people than youNaona ghafla bin vuu nyoka kageuka gheko![]()






