Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mwenye mfano wa double decker trains kama hizi atupie picha zake.. tuone design yake ilivyo kwa ndan au tuone clear pics
Naona ni kama haya 👇👇
images - 2023-04-29T152744.555.jpeg

images - 2023-04-29T152929.755.jpeg

images - 2023-04-29T153027.363.jpeg
images - 2023-04-29T153035.039.jpeg
 
Mkuu, India inakusanya $15B kwa mwaka kutokana na "Medical tourism".
1)Tunahitaji $5B kujenga Hospitali 20 zenye ukubwa mara mbili ya Mloganzila/JKIC zenye vifaa vyote vya kisasa.
2)Tunahitaji zaidi ya $60B kujenga daraja la Dar - Zanzibar.

Kwa hali ya Tanzania hivi Sasa, lipi ni Bora kufanyika hata Kama ni PPP ukiangalia hiyo miradi miwili?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
usijihangaishe mzee hamna daraja la kwenda Zanzibar litajengwa! Hamna kampuni inaweza kuwekeza kwenye mradi kama huo! Zanzibar inahitaji ferries za kubeba magari makubwa na mizigo na si daraja!
 
Kila upande ina design kama za daladala kubwa kwa mbele.. yan 'kuna mlango wa kuingilia unatenganisha sehem ya mbele dereva na sehem ya nyuma ya abiria'
View attachment 2603745
Au kama hii ya mwisho kbsa chin upande wa kulia,
View attachment 2603746
Hapana haya si yale ya EMU yani yenye locomotove engine! Haya ni mabehewa (passenger coaches) yatakayoendesha na kichwa tofauti! Huko mwishoni na mwanzoni ni ngazi na aidha sehemu ya kukaa mtu wa wheel chair au choo! Haya mabehewa kwenye picha hayana pantograph!
 
Hapana haya si yale ya EMU yani yenye locomotove engine! Haya ni mabehewa yatakayoendesha na kichwa tofauti! Huko mishoni na mwanzoni ni either sehemu ya kukaa mtu wa wheel chair au choo!
Hakuna niliposema hayo ni emu.. nataka tu mwenye designs kama hizo za kwetu nione kulivyo ndan au nipate clear pics
 
Ndo hizi ase... zinaitwa bombadier twindexx 4/5th generation
tel-aviv-yafo-israel-september-train-stands-tel-aviv-university-station-israeli-railway-tel-av...jpg

F111108TA03.jpg

bombardier-israel-railways.jpg

2560px-DB_Regio_composite_double_deck_coach_(5954197349).jpg

905DD0B8-EE42-461F-9A94-0FEF8102535A.jpeg


Zimetoka huku nin.. mana hizi zilitumika ujeruman. Hii habari ya 2010
 
Kwenye suala la ppp hatuwez kumchagulia mwekezaji nini cha kufanya ila huo mradi wa medical tourism inafaa serekali kutafuta wabia tofaut tofaut ili kuhamasisha na ikishindikana basi walau waeke target ya miaka hata 10 kwenye hilo kupitia pesa za soft loan na ukiangalia medical tourism kwenye nchi zilizoendelea haziwez kukubali kuleta investment kama hzo wakat wao pia wanazihitaji hvo hvo
yeah tofauti na Chalinze to Morogoro expressway ambapo serikali ndio ilitafuta client

20230424_131738.jpg
 
Back
Top Bottom