Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dar kama Dar
20230429_134451.jpg
20230429_134447.jpg
20230429_134441.jpg
20230429_134500.jpg
20230429_134503.jpg
 
Mkuu, Hydropower is far cheaper than all. Maana ya kujenga hizi dams kubwa ni Ili kuhifadhi maji mengi kipindi Cha mvua nyingi Kama hizi Ili hata mvua zisiponyesha tusipate madhara makubwa. Nyerere dam likijaa lote ni sawa na Miata za ujazo 30B. zinaweza kutupeleka misimu mitano bila mvua za kutosha.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Sawa lets wait and see , Hydro is cheaper , but muhimu kukumbuka energy mix , tusisahau ku invest kwenye source nyingne
 
Sawa lets wait and see , Hydro is cheaper , but muhimu kukumbuka energy mix , tusisahau ku invest kwenye source nyingne
Kuna shamba kubwa Singida la kuzalishia umeme wa upepo lipo kwenye pipeline, pia Kuna Liganga - Mchuchuma projects ambao utazalisha umeme wa mkaa wa mawe, bila kusahau kwamba 52% ya umeme wetu hivi Sasa unatokana na gesi asili, tumejipanga vizuri Sana katika hilo eneo, ondoa shaka mkuu, agiza Konyagi na Sigara burudika, nchi ipo vizuri Sana.


Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Dubai inapokea mamilioni ya watalii kila mwezi na hawana vivutio vyovyote vya asili kama nchi nyingi zaidi ya desert safari, wanapokea watalii kwenda kushangaa architectural works, majengo marefu, man-made Islands, man-made fountains and other hi-tech works, hakuna mtalii atafika zanzibar/Dar asiwe na shauku ya kupita kwenye longest bridge in Africa, kama kusingekua na SGR line to DRC tayari kweli ningeishangaa serikali ila kwenye hili wasikilizwe, wana hoja
Mkuu, India inakusanya $15B kwa mwaka kutokana na "Medical tourism".
1)Tunahitaji $5B kujenga Hospitali 20 zenye ukubwa mara mbili ya Mloganzila/JKCI zenye vifaa vyote vya kisasa.
2)Tunahitaji zaidi ya $60B kujenga daraja la Dar - Zanzibar.

Kwa hali ya Tanzania hivi Sasa, lipi ni Bora kufanyika hata Kama ni PPP ukiangalia hiyo miradi miwili?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu, India inakusanya $15B kwa mwaka kutokana na "Medical tourism".
1)Tunahitaji $5B kujenga Hospitali 20 zenye ukubwa mara mbili ya Mloganzila/JKIC zenye vifaa vyote vya kisasa.
2)Tunahitaji zaidi ya $60B kujenga daraja la Dar - Zanzibar.

Kwa hali ya Tanzania hivi Sasa, lipi ni Bora kufanyika hata Kama ni PPP ukiangalia hiyo miradi miwili?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Kwenye suala la ppp hatuwez kumchagulia mwekezaji nini cha kufanya ila huo mradi wa medical tourism inafaa serekali kutafuta wabia tofaut tofaut ili kuhamasisha na ikishindikana basi walau waeke target ya miaka hata 10 kwenye hilo kupitia pesa za soft loan na ukiangalia medical tourism kwenye nchi zilizoendelea haziwez kukubali kuleta investment kama hzo wakat wao pia wanazihitaji hvo hvo
 
Kwenye suala la ppp hatuwez kumchagulia mwekezaji nini cha kufanya ila huo mradi wa medical tourism inafaa serekali kutafuta wabia tofaut tofaut ili kuhamasisha na ikishindikana basi walau waeke target ya miaka hata 10 kwenye hilo kupitia pesa za soft loan na ukiangalia medical tourism kwenye nchi zilizoendelea haziwez kukubali kuleta investment kama hzo wakat wao pia wanazihitaji hvo hvo
Medical tourism is a very big deal nowdays, you get both foreign currencies and better medical service for your people.

Kama mama ananisikia, atafute $500M ajenge Hospitali mbili kubwa za kisasa Sana, Moja Arusha na ya pili katikati au kusini mwa nchi.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom