chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,683
- 45,920
Hii package unaiita 'from the Lake to the Sea' 😂😂😂You know what you have just did? Umetoa bonge la business idea kwa tour operators, imagine kwenda Zanzibar tokea Kenya na Uganda ukipitia Mwanza with fancy fancy transport vessels and systems……..Nawaona jamaa zetu wakijaa pomoni kuja kushangaa.
Halafu hawasafiri tuu all through, wanakua na stops labda wakifika Mwanza watakaa siku 1 waende Saa 8 island na city tour, next stop Dodoma wakale mbuzi choma na city tour then next stop Dar waende makumbusho na city tour then ndio wanafika Zanzibar, ukiamua bado kuna packages nyingine utazoweza kuwapeleka mpaka Rwanda, Kigoma huko Gombe Lake Tanganyika etc 😅😅