NDINDA
Platinum Member
- Apr 4, 2011
- 10,726
- 49,572
702B91BB-871B-4558-9834-8BE5F848CBAB by odilon irakoze, sur Flickr
702B91BB-871B-4558-9834-8BE5F848CBAB by odilon irakoze, sur Flickr😀![]()
nyang'au hawaamini macho yao,walidhani zipo mathale pekee EA.
Embu ongezea zingine wachocheeke.in josephat oleksanda's voice.
From Kigamboni by indaressalaam, on FlickrPale karibu na Tanzanite Park?Kuna majengo mawili yanajengwa pale victoria
Mwenye kujua atujuze plz
Maana nimeona picha ya matundubai kuna majengo mawili marefu sana sa ndo nataka kujua kama ni hayo
702B91BB-871B-4558-9834-8BE5F848CBAB by odilon irakoze, sur Flickr
Kama number of buildings over 30flKWANI BADO TU UNAEKA HIZI PICHA?C NAFKIRI TULIELEWANA NAI 8 DSM 5
Hakuna skyscraper refu kama TPA(40fl) Kenyami bado nasubiri picha za skyscrapers![]()
![]()
![]()
what Tanzania celebrates today, Kenya probably had it 5 years ago be it roads, skyscrapers among other things
Men yur good702B91BB-871B-4558-9834-8BE5F848CBAB by odilon irakoze, sur Flickr
Eee hayoPale karibu na Tanzanite Park?
haya hapa? au mengine?
![]()
![]()
![]()
![]()
Mmmhhhhh twambie proff, apo jengo gan limeongezewa????kwa picha nayo umebobea......umeweka make-up sawasawa. lol
ndinda katika ubora wako....you have never disappointed us since day one....always on point...i admire you bro.Pale karibu na Tanzanite Park?
haya hapa? au mengine?
![]()
![]()
![]()
![]()
ukute hawa vichaa wa JamiiForums.com wanaojiunga jf ndio first eleven wao aka ma-great thinker wao.Naona Wanaondoka Machizi
Anaingia Kichaa!
Kweli hii mada Kufikia mwakani
90% Ya wakenya Kenya talk wataishia JF
Kujihami
Ajabu wanakuja Vichaa watupu!!

Haya mafupi, 16 floors, Kama umegundua upande huu along Bagamoyo road kuna majengo mazuri sana sema mafupi, angalia kuanzia pale airtel, hata kule mwanza mwa Ali Hassan Mwinyi road kuna jangid, halafu faykat, Airtel, Paloma park, Tanre tower, spanish tiles, Tanzanite park na hayo hapo noble victoria, ni majengo mazuri sana na unique kwa design sema mafupi.Eee hayo
Ni flr ngap apo mkuu
