Hivi hawa jamaa hawana cargo plane eeehh..Hilo haliwezekani bro wanajilete wanataka boeing 767 ya mzigo iwe inakwenda kubeba mizigo kwao [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Never ever😅huku Wakunya hawatokaa wafike, huku mbali sana aisee!
View attachment 2595133View attachment 2595135View attachment 2595137
Kwani umekula tayari 😆😆😆😆😆Wacha kutetea aibu. Hiyo gari haifai iitwe eti ni ya kijeshi. Sijaona nchi yoyote duniani inatumia mkebe kama huo kama gari ya kijeshi
Wanayo katika zile za kukodisha boeing 737 ambayo ni ndogo kulinganisha na yetu ni kubwa sana alaf kingine wanaogopa sana tanzania kusafirisha avocado moja kwa moja ambayo ni pigo kubwa sana kwao🤣🤣Hivi hawa jamaa hawana cargo plane eeehh..
Kwani umekula tayari 😆😆😆😆😆
Ninyi KDF hawana uwezo hata wa kukunja bati kutengeneza kijiko. Ndio sababu M23 wanawatia video matakoniWacha kutetea aibu. Hiyo gari haifai iitwe eti ni ya kijeshi. Sijaona nchi yoyote duniani inatumia mkebe kama huo kama gari ya kijeshi
huku Wakunya hawatokaa wafike, huku mbali sana aisee!
View attachment 2595133View attachment 2595135View attachment 2595137
Hatutafika kivipi wakati leo ni mwaka wa tano SGR stations zetu zinafanya kazi huku nyie mkibaki kupiga magofu pichaNever ever😅
Waitoe wapi?, ndio sababu wamewahi kuja kuomba ushirikiano waliposikia tumenunua "cargo plane", Ili storage places zao zisibaki kuwa tupu kwasababu wasafirisha mizigo watatumia viwanja vya Tanzania.Hivi hawa jamaa hawana cargo plane eeehh..
Sasa hiyo mkebe is the best thing TPDF could assemble!? 😃😃Ninyi KDF hawa uwezo hata wa kukunja bati kutengeneza kijiko. Ndio sababu M23 wanawatia video matakoni
Zilete tuoneToll station za kigamboni bridge mbona zinaonyeshwa kila siku we fala, au unajitoa tu ufahamu.?
Kuna mbwa walikuwa wanasema kuna vumbi CBD tukawaambia hapo hutoona mchanga wakabisha, haya wapost tena basi, na nawaambia Wakunya sisi Watz tuliamua kubadilika miaka 7 iliyopita now ni vitendo tu, 2 to 3 years to come hutoona mchanga posta labda ukaufate baharini, kama ulaya mwanangu [emoji8][emoji8][emoji1241][emoji91][emoji91][emoji91]huku Wakunya hawatokaa wafike, huku mbali sana aisee!
View attachment 2595133View attachment 2595135View attachment 2595137
Hiki kituo cha BRT pemben ya SGR Station nadhan wanaweka design ya bullet train.. The best 007 anaita joka 🐍huku Wakunya hawatokaa wafike, huku mbali sana aisee!
View attachment 2595133View attachment 2595135View attachment 2595137
Nyumbu ni kampuni ya jeshi na ni kwa ajili ya jeshi shida yako iko wapi??🤣🤣🤣🤣Leta hiyo nyumbu yenu ya kijeshi nile
So long as TPDF is an undefeated army, while KDF fails everywhere they go, the answer is YES..Sasa hiyo mkebe is the best thing TPDF could assemble!? [emoji2][emoji2]
Mbona niwe na shida na nchi yenye mikebe disguised as military vehicles? Hiyo nguvu nitatoa wapi?Nyumbu ni kampuni ya jeshi na ni kwa ajili ya jeshi shida yako iko wapi??🤣🤣🤣🤣
Hii barabara ina lami. Kutoka Nairobi hadi South Sudan border barabara yote ina lami, nchi zote ambazo zina border Kenya zikona barabara ya lami from Nairobi. Ni Somalia tu imebaki, iko under construction.Tena hapo hapo bado hii ramani sio barabara zote ni lami, mfano hii barabara ya Eldoret - Juba ni vumbi 😂😂😂
View attachment 2595099View attachment 2595101
Mbona niwe na shida na nchi yenye mikebe disguised as military vehicles? Hiyo nguvu nitatoa wapi?