Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Barikiwa sana. Ngoja nipange safari ya huko.
Matema Beach, Kyela, Mbeya 🇹🇿 pia sio sehemu ya kukosa uwapo Southern Highlands

images (21).jpeg
images (23).jpeg
images (24).jpeg
images (28).jpeg
images (25).jpeg
images (31).jpeg
images (37).jpeg
images (38).jpeg
FLZvnCVWQAQJbv-.jpg
images (40).jpeg
images (42).jpeg
 
Tanzania hatujachangia chochote katika kikosi Cha EAC huko DRC, hizi picha ni wakati wa mazungumzo ya makamanda wa majeshi ya nchi zote za EAC yaliyofanyika Kenya, lakini hadi leo hakuna mwanajeshi wa Tanzania hata mmoja aliyekwenda DRC kuungana na wanajeshi wa nchi za EAC, hadi Sasa ni Tanzania na Rwanda tu ambao hawajapeleka jeshi lake DRC ktk kikosi Cha EAC.
Huyo jeshi wenu amevaa kofia ya EACRF kwanini? Watu si wajinga buanaaaaa.
 
ubora wa hali ya juu barabara pana vizuri tofauti na za kenya

View attachment 2594928View attachment 2594929

Hivi Wakenya wanaposema wanatuzidi kwenye km of paved roads mnawaelewa kweli? Mbn sioni relation kabisa, nchi yetu ni kubwa mara yao alafu maeneo mengi ni yanafikika unlike kwao na bado wanasema wanatukaribia hii mbn haiingii akilini kabisa. Ninachokiona ni uzembe wa bodies zetu kushindwa ku update taarifa zao mara kwa mara.
 
Hivi Wakenya wanaposema wanatuzidi kwenye km of paved roads mnawaelewa kweli? Mbn sioni relation kabisa, nchi yetu ni kubwa mara yao alafu maeneo mengi ni yanafikika unlike kwao na bado wanasema wanatukaribia hii mbn haiingii akilini kabisa. Ninachokiona ni uzembe wa bodies zetu kushindwa ku update taarifa zao mara kwa mara.
Lakini hata zao zimejaza uongo, wanaweka kilometers ambazo hawana, hata mtoto mdogo humdanganyi

1679038239950.png
 
Nani alikuambia lazima hilo gari libebe watu, hivi hujui kwamba miongoni mwa jambo muhimu katika vita ni kuisafirisha mahitaji muhimu Kama chakula, silaha, na madawa?.

TPDF litaendelea kuwa jeshi Bora Sana ukanda huu, wakati KDF litaendelea kuwa jeshi dhahifu na kenye kudharauliwa, ndani na nje ya Kenya.https://youtu.be/9hlhIO8c7p0

Ona jinsi jeshi lenu linavyodharaulika nje ya Kenya
Wacha kutetea aibu. Hiyo gari haifai iitwe eti ni ya kijeshi. Sijaona nchi yoyote duniani inatumia mkebe kama huo kama gari ya kijeshi
 
Back
Top Bottom