Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 20,609
- 15,712
Kabla hajafanya hivyo, leta link ya manyumbu zote mmeuza so farSio picha, weka link inayoonyesha idadi ya gari zilizouzwa Hadi sasa
Kabla hajafanya hivyo, leta link ya manyumbu zote mmeuza so farSio picha, weka link inayoonyesha idadi ya gari zilizouzwa Hadi sasa
A car designed in Tanzania 😂😂😂Nini hii inafanana chura? 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
the longest expressway in the region is about to break ground soonerTanzania roads agency wakifanya benchmarking expresswayView attachment 2594074View attachment 2594075View attachment 2594076View attachment 2594077View attachment 2594078
kilio kipya 😅
Ukiondoa kelele Wakunya hawana kitu, uzuri wameanza kujijua
Sidhani Kama Tanzania tunaweza kufikiria kitu Cha kijinga Kama hicho, sisi. tunajenga BRT na muda sio mrefu tutaanza light railway", vipi tufikirie huo ujinga, weka ushahidi.
Ninyi ndio mnaoendelea kuja kutupigia magoti
Ukiondoa kelele Wakunya hawana kitu, uzuri wameanza kujijua
Iwe ni ya jeshi was nini kwani si ni gari? Tuambie mmeuza nyumba ngapi. At least sisi unajua tushauza Mobius 7Alete idadi mpaka leo mobius kauza gari ngapi zikizidi 7 mpaka 10 munitag 🤣🤣🤣 nyie munafkiri muko nairaland hapa
Hilo gari uliopost ni kampuni ya nyumbu ya jeshi na nikwaajili ya jeshi tu so usichanganye pombe na chai
Hicho Kipande Cha km 36 kikimalizika Sasa utasafiri kutoka Dar Hadi Kigoma via Tabora kwenye mkeka wa lami..
View attachment 2594138View attachment 2594139
Haiya kwani mbeleni haikuwa lami??LDC kweli
Nenda kawaambie wabadilishe waiweke Kenyathe fact that you believe statements like these inaonesha vile wewe ni mjinga. Haya tuambia Tanzania mna charging points ngapi kucharge hizo 5000 cars?












