Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Basi ni hzo tu hautaki kukubali kama ni white elephant project au?? 🤣🤣🤣 hii dunia ina maajabu wakat probox zimejaa over 90% ya gari zote kenya
Sasa unataka akuletee picha za magari zote za Mobius ambazo zimeuzwa so far? Una akili timamu lakini? Wewe hebu tuletee picha za hii mabati mliyouza so far
images - 2023-04-20T011444.072.jpeg
 
Sasa unataka akuletee picha za magari zote za Mobius ambazo zimeuzwa so far? Una akili timamu lakini? Wewe hebu tuletee picha za hii mabati mliyouza so far View attachment 2593556
Alete idadi mpaka leo mobius kauza gari ngapi zikizidi 7 mpaka 10 munitag 🤣🤣🤣 nyie munafkiri muko nairaland hapa

Hilo gari uliopost ni kampuni ya nyumbu ya jeshi na nikwaajili ya jeshi tu so usichanganye pombe na chai
 
Timu ambazo ziko Top four ligi kuu ndo hizi (yan alieshika nafasi ya 5 hata akishinda mechi zote zilizobaki hamfikii aliyepo nafasi ya 4 saiz). Na timu ambazo ziko nusu fainali FA ndo hizihizi, bas hizi ndo timu ambazo zitawakilisha Tanzania kwenye mashindano ya CAFCL na CAFCC msimu ujao.
CAFCL: Simba SC na Yanga SC
CAFCC: Singida BS na Azam FC
 
Back
Top Bottom