Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Iwe ni ya jeshi was nini kwani si ni gari? Tuambie mmeuza nyumba ngapi. At least sisi unajua tushauza Mobius 7
Jeshi letu linataka kupunguza utegemezi wa kununua silaha toka nje, bado hawajajitosheleza, vipi unataka wauze nje ya nchi?.

Wewe akili zako zinafanana na wakenya walio wengi, wanafikiria soko la nje kabla ya kutosheleza soko la ndani.
 
Sidhani Kama Tanzania tunaweza kufikiria kitu Cha kijinga Kama hicho, sisi. tunajenga BRT na muda sio mrefu tutaanza light railway", vipi tufikirie huo ujinga, weka ushahidi.

Ninyi ndio mnaoendelea kuja kutupigia magoti

Hujamuona Kafulila? Au unabisha kwa sababu ya kubisha tu? Na mpango wa kujenga Expressway upo?
 
Longest dual carriageway in the region.


Image
Unaumwa mavi wewe!
 
Back
Top Bottom