Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakenya bado mnataka kushindans na Tanzania?

 
Jeshi letu linataka kupunguza utegemezi wa kununua silaha toka nje, bado hawajajitosheleza, vipi unataka wauze nje ya nchi?.

Wewe akili zako zinafanana na wakenya walio wengi, wanafikiria soko la nje kabla ya kutosheleza soko la ndani.
Hiyo hata ipelekwe soko la nje nani atanunua? Hata inachekesha that's what your army uses and you are proud of it. SHAME!
 
Mkuu, nilikua sijamuona, ila baada ya kumuona nimeshangaa Sana. Ila mkuu punguza hasira kidogo
Hasira gani? Wakati nimekutumia link? Hata picha hujaangalia ukaamua kubisha tuuu? Uko sawa kweli? Au usukumagang umekuchizisha? Try to make ur arguments make sense aisee!
 
Turkana County
Image

Image


Image

Image

Image

Image

Image

Image

Image

Image
Hii consultancy company lazima ilikua ya Tanzania, these roads are not looking Kenya's at all
 
Back
Top Bottom