Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
ChoiceVariable weka viwonder unavyoona wewe ni vikubwa vyote kutoka Mbeya nikunyooshe
Whats organized there? Ama kuweka picha ya kibera slum ndo inafanya iwe organized?Ruangwa is just a small district in Southern Tanzania but it seems more organized than Nairobi the slum cityView attachment 2592717View attachment 2592718View attachment 2592719View attachment 2592721View attachment 2592722View attachment 2592723View attachment 2592724View attachment 2592725View attachment 2592726View attachment 2592727
Look at Nairobi nowView attachment 2592728
Ila Kibera ndio sehemu mbaya zaidi kuishi Africa MasharikiWhats organized there? Ama kuweka picha ya kibera slum ndo inafanya iwe organized?
Huu ni utoto,unapiga kelele za mabomba, Mbeya ilishapita hiyo stage kitambo.Inashangaza Hilo Bomba linajengwa Tanga pekee? Punguza ujinga basi.Unajua kama Tanga kuna mradi wa bomba la mafuta U/C .?
Tunaenda hatua Kwa hatua ,leta kiwanda Cha pombe Kali hapo Tanga,ukijibu hili nakuja kwinginekoChoiceVariable weka viwonder unavyoona wewe ni vikubwa vyote kutoka Mbeya nikunyooshe
Umeanza kutafuta pa kutokea tena 😁😁😁😁Weka viwonder vyote vya mbeya nikuonyeshe TZ's big brands from TA ..
Ukituliza kichwa akili unazoNaona uzoefu wa sekta za Madini Watanzania Sasa wameshabobea..
Leo kwenye kutia saizi za framework Agreements za Miradi ya Madini zaidi ya 1.5T.
-Tuna share 16% Kupitia kampuni za Ubia zilizoundwa ,shares ni non-dilutable(Ni Tanzania pekee hapa Afrika imefikia status hii),na zinaweza ongezeka
-Tuna share za 47,51 za Economic benefits
-Kwa mradi wa Rare Earth elements wawekezaji wanatakiwa kujenga Kiwanda Cha refinery hapa hapa Tanzania,
-CSR kama kawaida hususani za kwenye miradi ya Maji,Afya,Barabara nl,
-Local contents as usual na hapa kwenye Management za Juu za Kampuni tanzu..
-Kwa mfano kwenye Rare Earth elements initial prospective investment ni dola mil.439 plus,zaidi ya Bil.900 huku Serikali ikitarajia kuvuna zaidi ya Til.11 over the Project Life time.
Kazi nzuri wamefanya hapa Timu ya Majadiliano inayoongozwa na Prof.Kabudi.
Tunaenda hatua Kwa hatua ,leta kiwanda Cha pombe Kali hapo Tanga,ukijibu hili nakuja kwingineko
Fanya nilichokuagizaUmeanza kutafuta pa kutokea tena 😁😁😁😁
🤣🤣🤣 Nilikua sijaiona hii .. no wonder wanakupuuza humu ndaniHuu ni utoto,unapiga kelele za mabomba, Mbeya ilishapita hiyo stage kitambo.Inashangaza Hilo Bomba linajengwa Tanga pekee? Punguza ujinga basi.
Wewe choko wa Tanga unajua kwamba Vituo vikubwa vya heating,pumping na maintainance facility za Bomba la TAZAMA kipo Dar,Mbeya na Ndola?
Sasa hivi kinataka kuwa converted lisafirishe diesel badala ya crude oil View attachment 2592732
Kichapo Cha kwanza tayari,haya leta kiwanda Cha spices na hapa Kwa Mbeya viko vingi sana.Tanga hakuna kiwanda cha pombe ndugu
Chuga watagwan 👇View attachment 2586592
Kichapo Cha kwanza tayari,haya leta kiwanda Cha spices na hapa Kwa Mbeya viko vingi sana.
We boya nini,umuagize nani? Kama huna viwanda pita huko..Fanya nilichokuagiza
Umeshakiri mapema hakuna viwanda vya maana huko Tanga Nitakuwa nakuonea Bure ,Rudi kule kwenye tugorofa twa Waarabu walau unaweza jifariji 😂😂😂😂🤣🤣🤣Aisee wewe jamaa ni zuzu.. heb maliza viwonder 🤣🤣 vyako kwanza halafu nikuonyeshe vile viwanda vinafaa kuwa
Wewe ulianza lini kuwa na akili?
Hii ni ChatGPT sio maneno yanguFanya nilichokuagiza
Kweli kabisa. Salary ndogo sanaThis is really good .
Kuwe tu na mazingira rafiki kuwavutia wa practice hapa, vinginevyo wengine wanaweza wasirudi kabisa nchini.
Rémunérations za super-specialists tz zipo chini sana, quite unfair Hasa ukiangalai safari ya shule mtu hadi afikie level hiyo, miaka mingi sana inapotea on the journey, wewe leo uje umlipe sijui milioni 2, No way.
Unakuta kuna mtu mwingine amesoma sijui sociology yupo huko nssf anakula mshahara Sawa na Cardiology surgeon,
No way. Hili Lina haja ya kuangaliwa.
In fact suala la Elimu na afya inafaa siasa zikae pembeni.
Kwaivo point yako haikuwa ruangwa ni more organized kuliko Nairobi bali kibera ndo sehemu mbaya zaidi kuishi? Kwa hivyo ndo maeneo ya Tanzania yaonekane yameendelea, lazima yalinganishwe na sehemu mbaya zaidi kenyaIla Kibera ndio sehemu mbaya zaidi kuishi Africa Mashariki
That slum is too much
