Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kuna siku utaacha excuses wewe 😁😁😁😁..

Mbeya Ina lami za Vijijini kama zote huko kwenye Districts.

Zingine hizi hapa zinaanzia kujengwa mwaka huu via RISE na Agri Connect huko huko kwenye Districts View attachment 2592415

Ndani ya Jiji Kuna Tactic-Stand 2,masoko 3,Street roads km 25.

Kijiji Cha Tanga no where to be seen 😁😁
View attachment 2592416
Kweli we ni juha 🤣🤣 no wonder wanasema wewe sio mtanzania.. as I'm talking to you right now there are several kms of paved roads U/C in Tanga... Industries, bus terminus, hoima pipeline, Port expansion, schools, 500 metter brigde across pangani river, Tanga-Dar road via Pangani (tutakua na njia mbili za kufika DAR) .. hizo barabara za lami kwa city center Tanga mpinzani wake labda DAR tu na Mwanza kwasasa .. Tanga Ina barabara nyingi za lami kwenye mitaa kuliko mji wowote Kando ya DAR na Mwanza.. 21 streets numbers all are paved .. hiyo mitaa mengine je.?
 
Njoo ujifunze Tanga wewe ChoiceVariable new bus terminus U/C 👇. Pitia uone miradi ya ULGSP Tanga iivyo ng'aring'ari👇 . Barabara ya Tanga-Dar via Pangani 👇. Tanga port expansion 👇. Viwanda vipya vilivyozinduliwa recently.. kiwanda cha kutengeneza Smart card . Kiwanda cha kutengeneza vifungashio 👇.
 
Kweli we ni juha 🤣🤣 no wonder wanasema wewe sio mtanzania.. as I'm talking to you right now there are several kms of paved roads U/C in Tanga... Industries, bus terminus, hoima pipeline, Port expansion, schools, 500 metter brigde across pangani river, Tanga-Dar road via Pangani (tutakua na njia mbili za kufika DAR) .. hizo barabara za lami kwa city center Tanga mpinzani wake labda DAR tu na Mwanza kwasasa .. Tanga Ina barabara nyingi za lami kwenye mitaa kuliko mji wowote Kando ya DAR na Mwanza.. 21 streets numbers all are paved .. hiyo mitaa mengine je.?
Achana nalo hilo zuzu. Nimemdharau sana huyo jamaa. Yupo kwenye thread ya Jombe/Mveya vs Kahama.
Huku anakuja kupoza maunivu.
 
Arusha 👇
goldcrest_hotel_arusha-20230419-0001.jpg
 
Yes it took 9 hours and after those nine hours, normal operations resumed and as usual, more planes were touching down and taking off than at your mabati rolling mills
JKIA should install birds radar n other birds protection systems!
 
Only ukunyani! World standard airports huwa na bird protection equipment! Pata picha A380 ina-face bird strike! Endeleza ujinga!

Kwanza ajue kwanini Emirates walichagua kutua Tanzania.

 
Hii ni aibu mzee 🤣🤣🤣 usipost tena humu
Sio kwamba wewe ndio unaona aibu baada ya kuumbuliwa Kwa uzushi ambao Huwa mnafanya humu?

Mbona hujatuletea suburb zenu mnakoishi badala yake umeleta ramani za Mjini hapo walipopima Wajerumani enzi za ukoloni?

Huhitaji kwender Switzerland ku breath fresh air just come in Mbeya City utatoka sumu zako zote

 
Njoo ujifunze Tanga wewe ChoiceVariable new bus terminus U/C 👇. Pitia uone miradi ya ULGSP Tanga iivyo ng'aring'ari👇 . Barabara ya Tanga-Dar via Pangani 👇. Tanga port expansion 👇. Viwanda vipya vilivyozinduliwa recently.. kiwanda cha kutengeneza Smart card . Kiwanda cha kutengeneza vifungashio 👇.

Sina mda wa kuleta video za viwanda it's well known kwamba Mbeya ni giants wa viwanda eg cement,soft and Spirit drinks, viwanda vya bidhaa za nyumbani kama Magodoro,viungo nk ukienda Sokoni tafuta tea/pilau masala kutoka Mbeya uta enjoy,viwanda vya bidhaa za ujenzi kama mabati,vigae nk..

Tuna utitiri wa miradi mikubwa na midogo. But Hii hapa itakuwa game changer mtakuwa mnakuja kupiga picha na wenzako 😁😁

1 .Dual Carriage Road kama Sam Nujoma ,Tanga will keep on dreaming


2.Mradi wa Maji safi,hutokuja sikia Jiji la Mbeya Lina shida Kwa miaka 20 baada ya mradi Kukamilika.
 
Use of Electric mobility is not modern, it is only cheaper and clean. Thinking that Electric cars or trains are modern is being ignorant
Screenshot_2023-04-18-23-03-11-02_0b2fce7a16bf2b728d6ffa28c8d60efb.jpg
 
I visit my village in Kenya and realised
1. Sidewalks
IMG20230416132828.jpg

2. Well developed and maintained roads
IMG20230416132224.jpg

3. Beautiful interchanges
IMG20230416131927.jpg
IMG20230416131848.jpg

That is in the villages!!! I couldn't believe, even my self. The change that 4 years can make.
 
Back
Top Bottom