Naona uzoefu wa sekta za Madini Watanzania Sasa wameshabobea..
Leo kwenye kutia saizi za framework Agreements za Miradi ya Madini
-Tuna share 16% Kupitia kampuni za Ubia zilizoundwa ,shares ni non-dilutable(Ni Tanzania pekee hapa Afrika imefikia status hii),na zinaweza ongezeka
-Tuna share za 47,51 za Economic benefits
-Kwa mradi wa Rare Earth elements wawekezaji wanatakiwa kujenga Kiwanda Cha refinery hapa hapa Tanzania,
-CSR kama kawaida hususani za kwenye miradi ya Maji,Afya,Barabara nl,
-Local contents as usual na hapa kwenye Management za Juu za Kampuni tanzu..
-Kwa mfano kwenye Rare Earth elements initial prospective investment ni dola mil.400 plus,zaidi ya Bil.750 huku Serikali ikitarajia kuvuna zaidi ya Til.11 over the Project Life time.
Kazi nzuri wamefanya hapa Timu ya Majadiliano inayoongozwa na Prof.Kabudi.