Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tanga uswaziView attachment 2591087vs Mbeya City center 👇View attachment 2591088.. ChoiceVariable. Kaa kwa kutulia.. mbeya ni kijiji tu mbele ya Tanga
Kwa hiyo ukachagua picha ya Tanga uka zoom na ya Mbeya hujazoom..

Huwa mnawaambia Wakunya wazoom uswazi wa Dar,haya na wewe zoom hiyo picha ya Mbeya miaka gani sijui..

Mbeya ya uswazi
20230404_190657.jpg
that_mbeya_guy_1680353128961733.jpg
that_mbeya_guy_1680353066234609.jpg
 
Most definitely, Tanga competition yake ni Arusha.. Mbeya haiwezani hata na Morogoro, nashindwa kuelewa ilikuaje ikapatiwa city status, ni aibu tupu
Mbeya bado sana kwa Tanga.
Tanga inachuana na (Mwana & Arusha).
Mumeanza uchokozi Kwa watu,mnataka kununua ugomvi..

Tanga size yake ni Kahama,Morogoro na Geita
 
Royal tour inaendelea kufanya mambo.

Naziona dalili za Watalii walau mil.3 japo target ni 5mln by 2025.

 
Toka Mjerumani awajengee hayo Magofu Bado kuko vile vile hambadiliki tuu nyie mamwinyi wa Tanga? Tuoneshe Kwa matajiri .View attachment 2591128

Kwenu Huwa hakuna hata uoto wa asili?
🤣🤣🤣 Bro .. achana na Tanga mzee .. Tanga ni league ya Chuga mzee . Hii hapa ni Raskazone mitaa ya washua 👇.. Tanga Iko mpaka na yatch club
26947144709_4cb7631982_b(0).jpg
37835299655_0106a10f83_b(0).jpg
..
1(20).jpg
-4381943307879738829_web.jpg
16026189_bceqMy2YvLpjRGCD6YNuodoMjmy2E2XibEYqDKt-iLE.jpg
.. Raskazone and Bombo area. picha za google earth 👇Bombo area
Screenshot_20230417-183540_1.jpg
Raskazone👇
Screenshot_20230417-183600_1.jpg
masaki flani hiv
 
🤣🤣🤣 Bro .. achana na Tanga mzee .. Tanga ni league ya Chuga mzee . Hii hapa ni Raskazone mitaa ya washua 👇.. Tanga Iko mpaka na yatch clubView attachment 2591142View attachment 2591144..View attachment 2591179View attachment 2591180View attachment 2591181.. Raskazone and Bombo area. picha za google earth 👇Bombo areaView attachment 2591184Raskazone👇View attachment 2591186masaki flani hiv
Mimi nakupa video tuu utazame mwenyewe..

Mbeya Mwanjelwa
 
Back
Top Bottom