Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mbeya ni kijiji tu mbele ya Tanga mzee.. una ubavu twende ground.?
😁😁😁 Nimekutandika kwenye Mabasi ulikoleta ubishi na huku Mbeya itakunyea.

Ground ipi? Kuna ground tofauti na hii hapa 👇
Screenshot_20221025-203055.png
 
Hapana ndugu yangu hii mada niliifuatilia Tangu juzi.
Mwenzako alileta mabasi asili yake ni Tanga.
Ndio maana alikuambia Mabasi hayo huko mbeya yanapita tu.

Basi ukisema hivyo Morogoro itakuwa na mabasi mengi sana.
Jamaa haijui Tz kabisa, ni mfuata mkumbo tu mmoja
 
Mwambie alete hata ya asili ya America hayawezi kuzidi ya Mbeya.
Hapana ndugu Tanga ipo juu ukilinganisha na Mbeya.

Mbeya ndio inachipukia sasa.
Mimi siyo mtu wa Tanga, lakini hiki ninachokuambia ni ukweli.

Hata upande wa viwanda Tanga ipo na viwanda vingi mno. Inaweza ikapitwa na Dar tu kwa hapa TZ.
 
😁😁😁 Nimekutandika kwenye Mabasi ulikoleta ubishi na huku Mbeya itakunyea.

Ground ipi? Kuna ground tofauti na hii hapa 👇View attachment 2591056
Seeing is believing, I dare you to show me whatever has been written in your post. Ground Bro .. leo nitasema ukweli ..

Mbeya hai deserve City status. full stop.. ni aibu tupu
 
Seeing is believing, I dare you to show me whatever has been written in your post. Ground Bro .. leo nitasema ukweli ..

Mbeya hai deserve City status. full stop.. ni aibu tupu
Excuses as usual 😂😂😂

Kijiji Cha Tanga kikipata Hoteli kama hii Nakunya humu
20230304_190052.jpg
20230313_185706.jpg
 
Seeing is believing, I dare you to show me whatever has been written in your post. Ground Bro .. leo nitasema ukweli ..

Mbeya hai deserve City status. full stop.. ni aibu tupu
Hizo zote ni luxury buses kwenda Tanga. Halafu ni based Tanga.

DAR TO TANGA
  • Ratco express
  • Simba mtoto
  • Smart express
  • Meridian express
  • Raha leo express
  • Bembea
  • Air bus
  • Tashrif coach
  • Burdan
  • Satelite coach
 
Hapana ndugu Tanga ipo juu ukilinganisha na Mbeya.

Mbeya ndio inachipukia sasa.
Mimi siyo mtu wa Tanga, lakini hiki ninachokuambia ni ukweli.

Hata upande wa viwanda Tanga ipo na viwanda vingi mno. Inaweza ikapitwa na Dar tu kwa hapa TZ.
Ipo Juu kwenye mdomo wako au? Taja List,kaendelee alipoishia mwenzio kama una jeuri hiyo..

Kuchipukia kwenye nini? Kama Mbeya inachipukia ndio ishawachambia Tanga ni magofu tuu huko.
Screenshots_2023-04-08-15-12-13.png
 
Shabiby ni Dodoma buses mzee.
Tunakuletea Basi za offices Tanga.

Kama hivyo Morogoro itakuwa imezidi mikoa yote.
Tunataka ulete Based Mbeya.
😁😁 Pole sana broo

Shabiby Yuko Tunduma-Dom
Mbeya-Dom na Sasa ndio kaleta chuma piruuuui VVIP Dar -Mbeya

20230410_135247.jpg
20230411_174910.jpg
 
Songwe siyo Mbeya Mzee.
Basi Ukitaka mikoa jirani basi Tanga wataleta Airport ya Kilimanjaro.
Kumbe ndio maana mumekalia Ubishi hamjui kitu 😁😁😁😁

Uwanja wa Songwe uko Mbeya na ndio maana unataka ubadilishwe jina Kwa sababu Uliitwa Kwa heshima ya Mto Songwe na Sasa Songwe ni Mkoa mwingine ila uwanja uko ndani ya Mipaka ya Mbeya km 30 kutoka Citu Centre.
 
Hizo zote ni luxury buses kwenda Tanga. Halafu ni based Tanga.

DAR TO TANGA
  • Ratco express
  • Simba mtoto
  • Smart express
  • Meridian express
  • Raha leo express
  • Bembea
  • Air bus
  • Tashrif coach
  • Burdan
  • Satelite coach
Ongeza hizi

Nacharo
Tahmeed
Raqib
KSK
Tawakal
Tayasar. na hizi kampuni zote ni Tanga.. ye anataja mavitu yanayopita njia tu 🤣🤣
 
Back
Top Bottom