Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

ChoiceVariable Tanga ni proper City kabisa mzee sio hiyo takataka mbeya 👇 hotels zenye maana pia zipo, sijui kama kuna hotel ya maana hapo mbeyaView attachment 2591194View attachment 2591195View attachment 2591196
Unajua kuna Vitu mjiongeze Mtu Mmesha Mjua Haijui Tanzania Vyema
Wala Hajaitembelea Tanzania au Miji ya Tanzania na Kuijua
Kwenye mada Hii Mtaharibu
Nendeni mkaanzishe Hiyo Mada Mtapata Kuona Ukweli wa wengine zaidi yenu
Na Ukweli huo nikuwa Mbeya Bado sana kwa Tanga
Mbeya Kiukweli Ilipewa Jiji lakini ni Aibu
Mbeya Hata Morogoro Ipo Vyema sana.
NB; Maoni haya ni Kwa wanao Ijua Miji ya Tanzania
 
Unajua kuna Vitu mjiongeze Mtu Mmesha Mjua Haijui Tanzania Vyema
Wala Hajaitembelea Tanzania au Miji ya Tanzania na Kuijua
Kwenye mada Hii Mtaharibu
Nendeni mkaanzishe Hiyo Mada Mtapata Kuona Ukweli wa wengine zaidi yenu
Na Ukweli huo nikuwa Mbeya Bado sana kwa Tanga
Mbeya Kiukweli Ilipewa Jiji lakini ni Aibu
Mbeya Hata Morogoro Ipo Vyema sana.
NB; Maoni haya ni Kwa wanao Ijua Miji ya Tanzania
Jamaa anazingua sana.
Tanga ipo vizuri ukilinganisha na Mbeya.
Halafu Tanga kuna watoto kike wanajua vitu vingi sana.
 
1de5797e04ef4d98bc4ea10882d69316_341764911_187116634149636_109444580455696851_n.jpg
 
Jamaa anazingua sana.
Tanga ipo vizuri ukilinganisha na Mbeya.
Halafu Tanga kuna watoto kike wanajua vitu vingi sana.
Naona mnalazimishwa hicho Kijijini kifanane na Mbeya,haitokaa itokee 🤪🤪
Sio Mbeya Jiji Wala Mbeya Mkoa.

Ukiona Tanga kwenye hii orodha ya miradi ya Tactic,Rise na Agri Connect unitag
Screenshot_20230414-132848.jpg
Screenshot_20230414-134318.jpg
 
Unajua kuna Vitu mjiongeze Mtu Mmesha Mjua Haijui Tanzania Vyema
Wala Hajaitembelea Tanzania au Miji ya Tanzania na Kuijua
Kwenye mada Hii Mtaharibu
Nendeni mkaanzishe Hiyo Mada Mtapata Kuona Ukweli wa wengine zaidi yenu
Na Ukweli huo nikuwa Mbeya Bado sana kwa Tanga
Mbeya Kiukweli Ilipewa Jiji lakini ni Aibu
Mbeya Hata Morogoro Ipo Vyema sana.
NB; Maoni haya ni Kwa wanao Ijua Miji ya Tanzania
Toa ujinga wako hapa wewe, unadhani kinachoamua kuwa Jiji ni mdomo wako au vigezo?

Vijijini vya Bumbuli,Pangani,Handeni,Korogwe,Singe huko vinaweza fananisha na Wilaya gani ya Mbeya?

Kwa taarifa Yako Tanga naijua yote na hamna pa kunizuzua,Toka Mjerumani kaondoka hamna kitu hapo..

Hata Sasa ukiuliza Kuna projects gani za maana hapo hakuna zaidi ya mradi wa Bomba ndio uje ilinganishe na Mbeya yenye maviwanda ya TBL,Pepsi,Coca Cola,viwanda vya mabati,Magodoro,vinywaji vikali yaani spirits,viungo,nafaka,cement nk nk?

Wewe na hao loosers wenzio zaidi ya kusimuliwa hamuijui Mbeya ila mumekariri na kusimuliwa ndio maana mnasema Songwe Airport hauko Mbeya 😁😁

Mlipo hamjui kwamba Mbeya ndio Mkoa pekee Kuna industry ya Natura CO2 for domestic and exports hapo sijagusia Geothermal,dhahabu na makaa ya Mawe achilia mbali Neobium na Rare Earth elements..

Ndio mje mlinganishe na hicho kimkoa Cha Tanga Cha watu midebwedo machoko tuu wamejaa hapo bila Bandari na mpaka wa Horohoro hamna kitu..

 
Those skyscrapers you are talking about are built by foreign companies the ones you build yourselves we know them they constantly turn into a heap of rubble
Exactly how many high-rise buildings do you think are in Nairobi? There are Thousands! How many thousand buildings have been constructed by foreign companies? For instance, Laxmanbhai Construction (a KENYAN company established by a KENYAN in KENYA) built Britam Tower, Nairobi's tallest building. The company also built Telposta Tower, Lonrho House, and Villa Rosa Kempinski (among other projects in Nairobi). The architects were Kenyans, working for Howard Humphreys Limited.
The GTC towers and complex were designed by KENYAN firm Triad Architects. There are so many others, but I have given you just two of the biggest. What you are asking me to account for is the thousands of 3 to 4-story buildings built by individual investors using small contractors. Since there have been 3 or 4 collapses (out of THOUSANDS built) Kenyans do not have the expertise? You're joking. I am pretty sure that if you take the time to research, the companies I mentioned above have projects they have undertaken in Dar.
 
Those skyscrapers you are talking about are built by foreign companies the ones you build yourselves we know them they constantly turn into a heap of rubble


You live in a glass house. Keep away from stones
 
Exactly how many high-rise buildings do you think are in Nairobi? There are Thousands! How many thousand buildings have been constructed by foreign companies? For instance, Laxmanbhai Construction (a KENYAN company established by a KENYAN in KENYA) built Britam Tower, Nairobi's tallest building. The company also built Telposta Tower, Lonrho House, and Villa Rosa Kempinski (among other projects in Nairobi). The architects were Kenyans, working for Howard Humphreys Limited.
The GTC towers and complex were designed by KENYAN firm Triad Architects. There are so many others, but I have given you just two of the biggest. What you are asking me to account for is the thousands of 3 to 4-story buildings built by individual investors using small contractors. Since there have been 3 or 4 collapses (out of THOUSANDS built) Kenyans do not have the expertise? You're joking. I am pretty sure that if you take the time to research, the companies I mentioned above have projects they have undertaken in Dar.
Take note that while Kenyan architects and engineers built our tallest skyscraper, Mzizima Towers were constructed by Group Six International Limited, a Chinese Contractor. I could look into others, but I think I've made my point about construction expertise.
 
Back
Top Bottom