Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
We unataka hii battle utaiweza.? 🤣🤣🤣. Mbeya yenyewe sasa 👇Ipo Juu kwenye mdomo wako au? Taja List,kaendelee alipoishia mwenzio kama una jeuri hiyo..
Kuchipukia kwenye nini? Kama Mbeya inachipukia ndio ishawachambia Tanga ni magofu tuu huko.View attachment 2591067