Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Na mm nakujibu kua gari zote zinazokuja africa 99% ni used za nje ambazo kwetu tunaita brand new kwa africa 🤣🤣🤣🤣 zipo probox za 2003 kibao kenya ni kD na kuendelea

Sisi africa kwa ujumla bado sana kufkia hatua za kumiliki wote gari za mayb 5 yrs ago bado sana

Gari nyingi africa zinakuja unakuta gari ni 15yrs au 20yrs ago au mtu kajitahidi sana 10yrs ago
Umekosa harrier tako la nyani KD? Ukipata nitag.
 
There's a reason why Kenya has a space agency and TZ does not. We have launch facilities, satellite tracking, and telemetry capabilities as well as trained personnel. Talk about things you know about.
But you dont have food nor proper irrigation infrastructure pia technology ya kujenga maghorofa ni zero.
 
Ligi bora sana africa
Best leagues in Africa.
FB_IMG_1681673459988.jpg
 
Tanzania Largest Cities Population rankings

Dar 5.3 Mln
Mwanza 1.1 Mln,
Dodoma 765k
Arusha 600k
Mbeya 550k.

Dom population has grown two times na some parts of Chamwino zikiwa included population inaweza fika 900k,hapa Chamwino haijahusika
Screenshot_20230416-050504.jpg
 
Akili kubwa ya kupeleka fedha na kuhamisha wanyama Chato bila kuidhinishwa na Bunge na kutoa list ya wahujumu uchumi isiyokuwa na Msukuma hata mmoja na kuamrisha kuachiwa wale wasukuma waliokamatwa Geita wakitorosha dhahabu! Pia akili kubwa ni kutaka kumega mikoa ya Kigoma na Kagera yenye makabila na desturi tofauti na kupeleka kwenye miliki ya wasukuma wenzie!

Hehehe, ushatoka nje ya mada. Just to prove a point, akili ndogo sana hii
 
Mkuu, watu wenye akili ndogo, hawawezi kuwaelewa watu wenye akili kubwa, sijui unanielewa?.

Kama tutachambua makosa ya Nyerere, Mandela, Fidel Castro, Ge-Gwavara, Robert Mugabe, Kwame Nkuruma, na wengine wenye kufanana, utagundua ni mengi kuliko hayo ya JPM.

Conclusion: Wenye akili ndogo hawawezi kuwaelewa wenye akili kubwa.

Mkuu hii nayo unagangaika nayo ni akili ndogo, haiwezi kukuelewa
 
Kesi kutokea lazima zitatokea tu hata huko mbeleni , nyingne tutashinda nyingne tutashindwa issue ni kwamba imekua kama ka mchezo ndege kushikwa cause ni weak point serikalini na ndo asset ambazo ni rahisi kushikwa na wanaotudai ,

Hapa ni kulipa deni , ndo dawa maana mpka mnaenda mahakamani maana yake mmoja kaona anaonewa

Hii issue inaifanya sasa AtC isiwe huru maana watu wanakamata ndege ovyo na kuharibu schedules ,so ni muhimu ATC ikawa independent company ..

Mbona nchi nyingne ndege zao hazishikwi ovyo , kwan hao hawana cases

Hakuna kulipa deni, nchi inahitaji hiyo pesa pia mkuu,I mean tunaweza kulipa ila sio leo wala kesho. and I am suspicious kuna wabongo wenzetu wanatuzunguka humu kwenye hii michezo.
Hicho kikampuni kilichoporwa ardhi na mwendazake akapewa bakharesa akatujengea factory ya kuzalisha sukari kinashinda kesi na kuwa awarded na almost $100m plus?
Fidia gani hii ? Halafu mahakama ni ya haohao wazungu,
Hapa ni kuplay Smart, Agency Itransfer ownership ya ndege kwa atcl, kisha watu binafsi wamiliki some shares za atcl, hili lipo ndani ya uwezo wa serikali.
Hatuwezi kuwa tunazunguka Bole kwenda Jburg.
 
Muambie education budget yetu ni $5b kwa mwaka wakati yao ni $1.8b kwa mwaka na gap ni the same kwa hizo ministries zengine ukicompare. Na bado tunapeleka $4b kwa mwaka kwenye county governments. Nchi inayopewa misaada kurun ministries ati iwe imetushinda kiuchumi, hawa wabongo wanachekesha

Education? I mean did you just say education? How ?
Buildings are collapsing what are your engineers learning at school?
[mention]Teargass [/mention] aliwahi kusema in Kenya you can join engineering without physics background, hadi leo I am wondering how hahaha.
100% of all your projects are funded + constructed by Chinese companies that don’t even know your English,
Watu mna chuo cha kilimo yet millions of you are starving to death as we speak n you rely on food aids and donations for decades, yet unafungua domo eti education nyenyenye . Idiot
IMG_0275.jpg
 
But you dont have food nor proper irrigation infrastructure pia technology ya kujenga maghorofa ni zero.
You are deflecting attention from the topic. Anyway, let me humor you - I suppose the skyscrapers we post here were imported from Tanzania, with its wonderful building technology?
 
Back
Top Bottom