Unatuonyesha Used Cars. 🤣 🤣 🤣 Au hujui kusoma.Fresh tako la punda 🤣🤣View attachment 2590480
Kwani zinazokuja kutoka japan ni new cars ?? Au unafkiri zinazotoka japan sio used cars 🤣 yani kwenye masuala ya magari ndio usiguse kabisa tulia hvo hvoUnatuonyesha Used Cars. 🤣 🤣 🤣 Au hujui kusoma.
Not locally used, Kenya ukiona mahali imeandikwa used car hio sio fresh import.Kwani zinazokuja kutoka japan ni new cars ?? Au unafkiri zinazotoka japan sio used cars 🤣 yani kwenye masuala ya magari ndio usiguse kabisa tulia hvo hvo
Not locally used, Kenya ukiona mahali imeandikwa used car hio sio fresh import.
Kabisa, hapa Kenya ukiona mahali imeandikwa used cars hizo zimetumika locally.Brand new kwetu sisi ila ni used ya nje ndio maana unaona haina hata makaratasi kwenye viti na sehem zingine muhimu 🤣🤣 hio ni used ya nje ila brand new kwetu sisi africa
What is your point exactly?Sasa Mwendazake alipokuwa ananunua ndege na kuzimilikisha Tanzania Government Flight Agency inayomilikiwa na serikali 100% hakujua hilo au ubishi wa kipumbavu? mbona old ATC ilikuwepo na ilikuwa ikifanya flights za Johannesburg na ndege zake hazikukamatwa!
Kuna huu mkesi unanguruma huko!
![]()
Air Tanzania Aircraft May Be Seized Over $100 Million Mining Compensation Claim
An Australian mining company plans to seize an Air Tanzania aircraft if it does not receive hefty compensation.simpleflying.com
Ww unaeza nidanganya mm kwenye masuala ya magari au unanichukuliaje mm🤣Kabisa, hapa Kenya ukiona mahali imeandikwa used cars hizo zimetumika locally.
Huwezi kufananisha Rais Mkabila kupata kutokea Tanzania na Nyerere!
Huko ni kumkosea mwl. heshima!
Hzi brand new cars au uses from abroad 🤣Kabisa, hapa Kenya ukiona mahali imeandikwa used cars hizo zimetumika locally.
Hiyo Mikataba ya kijuha ilisigniwa na nani? mingi mikataba ya kishenzi kasign Kikwete na ndio waratibu wakubwa wa matatizo haya kuprove point kwa Watanzania kuwa Magufuli alikosea.Lengo ni kukuonyesha kwamba, duniani Kuna watu wenye akili kubwa ambao hufanya makosa yenye kufanana, sio rahisi kwa watu wenye akili ndogo kuwaelewa.
Hzi brand new cars au uses from abroad 🤣
unapomfukuza mtu uliyempa vitalu kwa sheria zinazotaka arbitration ifanyike London na kushindwa kulinda assets zako huko ng'ambo ni upumbavu uliopitiliza wa Kisukumagang! Kipindi Nyerere anamfukuza mzungu sheria zilizompa ardhi hiyo hazikutaka arbitration ifanyike nje ya Tanzania!
Na mm nakujibu kua gari zote zinazokuja africa 99% ni used za nje ambazo kwetu tunaita brand new kwa africa 🤣🤣🤣🤣 zipo probox za 2003 kibao kenya ni kD na kuendeleaSijui unabishana nini, hio harrier tako la nyani unatuonyesha hapa nimekuambia ni used cars locally. Kama unapinga tuonyeshe any yenye iko registered KDA kuendelea.