Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kenyan Company to Repair Tanzania's Ferry for Ksh400 Million
A Kenyan company on Friday, February 18, won a tender to carry out major repairs on a Tanzanian passenger ferry.

According to Tanzania's The Citizen, MV Magogoni, which operates in Dar es Salam will be moved from Kigamboni waterway to Mombasa, where Kenyan experts will repair it.

 
Na nyinyi ndege kufanya emergency landing dar ndo itawaondolea matatizo kama wananchi wenu kuenda nje kuomba omba? Unareason kama ngombe
Kuweka mafuta watalipia, landing fee watalipia na pia wanatutangazia duniani kua tuna airport bora sana ya ku handle giants kama hzo 🤣🤣🤣

Mumeumia sana sana 😆😆
 
sometimes, seek information badala ya kupayuka:

"The observation satellite is “fully designed and developed” by Kenyan engineers and will be used to provide data on agriculture and food security, among other areas, the statement said.

An East African economic powerhouse, Kenya is suffering its worst drought in decades after five failed rain seasons. "

source::
Wapi wewe wala usidanganyike na wanasiasa wezi watu wanapiga pesa nyinyi mumebakia kudanganywa na wanasiasa wanaoiba mpaka pumzi zenu😆😆 kama agriculture ya macho imewashinda ya satellite ndio mutaweza au satellite ndio itashusha chakula kenya ??
 
Kwahiyo kuwa huru kunaondoa ukweli kwamba Nyerere alifanya kosa?.

Hapa point ni kwamba hata Nyerere alifanya kosa lile lile alilofanya JPM.

Conclusion; Kamwe akili ndogo haina uwezo wa "ku-challenge akili kubwa"
wewe ni mpumbavu! Ndo maana huwa nakupuuzia! Kumuweka mad Magufuli league moja na Nyerere! Nimekudharau! labda utupe mrejesho wa maendeleo ya Chato baada ya jamaa kufariki! Vipi utalii wa burigi chato NP? vp biashara! Kumbuka zaidi ya $1 bln iliwekezwa kule kimabavu!
 
Wapi wewe wala usidanganyike na wanasiasa wezi watu wanapiga pesa nyinyi mumebakia kudanganywa na wanasiasa wanaoiba mpaka pumzi zenu😆😆 kama agriculture ya macho imewashinda ya satellite ndio mutaweza au satellite ndio itashusha chakula kenya ??
Pole sana. Let me have discussions with the many other bright Tanzanians here who are capable of holding an intellectual conversation. Back to your hole. If not, enjoy talking to yourself 😛
 
wewe ni mpumbavu! Ndo maana huwa nakupuuzia! Kumuweka mad Magufuli league moja na Nyerere! Nimekudharau! labda utupe mrejesho wa maendeleo ya Chato baada ya jamaa kufariki! Vipi utalii vp biashara! Kumbuka zaidi ya $1 bln iliwekezwa kule kimabavu!
Huna sababu ya kutoa matusi, watu ndio wenye kuamua kati yangu na wewe nani anajenga hoja zenye mashiko.

Nyerere alifukuza mzungu, akashindwa kesi.

JPM alifukuza wazungu, akashindwa kesi.

Hivi tofauti kati ya hawa wawili ni nini?

Conclusion; Kamwe mtu mwenye akili ndogo hana uwezo wa kujua nini akili kubwa inachofikiria.
 
Huna sababu ya kutoa matusi, watu ndio wenye kuamua kati yangu na wewe nani anajenga hoja zenye mashiko.

Nyerere alifukuza mzungu, akashindwa kesi.

JPM alifukuza wazungu, akashindwa kesi.

Hivi tofauti kati ya hawa wawili ni nini?

Conclusion; Kamwe mtu mwenye akili ndogo hana uwezo wa kujua nini akili kubwa inachofikiria.
List kesi Nyerere alizoshindwa!
 
Huna sababu ya kutoa matusi, watu ndio wenye kuamua kati yangu na wewe nani anajenga hoja zenye mashiko.

Nyerere alifukuza mzungu, akashindwa kesi.

JPM alifukuza wazungu, akashindwa kesi.

Hivi tofauti kati ya hawa wawili ni nini?

Conclusion; Kamwe mtu mwenye akili ndogo hana uwezo wa kujua nini akili kubwa inachofikiria.
List kesi Nyerere alizoshindwa!
 
Back
Top Bottom