Mashashola
JF-Expert Member
- Feb 23, 2020
- 4,389
- 5,792
without sufficient money for salaries?We have a bigger budget
Huna sababu ya kutoa matusi, watu ndio wenye kuamua kati yangu na wewe nani anajenga hoja zenye mashiko.
Nyerere alifukuza mzungu, akashindwa kesi.
JPM alifukuza wazungu, akashindwa kesi.
Hivi tofauti kati ya hawa wawili ni nini?
Conclusion; Kamwe mtu mwenye akili ndogo hana uwezo wa kujua nini akili kubwa inachofikiria.
Huyo mzungu aliyekamata ndege yetu Kule South Africa, alifungua kesi ktk mahakama za Tanzania na akashinda kesi yake na mahakama za Tanzania zikaamuru GoT kumlipa fidia, nani aliyemfukuza Kama sio Nyerere?List kesi Nyerere alizoshindwa!
Geza ninamuheshimu na kumpenda Sana, ninaweza kusema kwamba Mimi ni miongoni mwa watu wachache Sana wanaomkubali Geza hapa JF.joto la jiwe najua hutaki tu kusema jamaa ni kubwa jinga fulani. Umebaki ni wewe tu unajibizana nalo hilo tutusa. Jamaa ata usitaharabu kidogo unaomuonyesha kwa kumjibu bila matusi yeye haoni anabaki kutoa matusi. Achana nalo
leta supporting links! kesi ilikuwa mwaka gani na verdict ilitolewa lini! Huwezi ukaongea tu!Huyo mzungu aliyekamata ndege yetu Kule South Africa, alifungua kesi ktk mahakama za Tanzania na akashinda kesi yake na mahakama za Tanzania zikaamuru GoT kumlipa fidia, nani aliyemfukuza Kama sio Nyerere?
without sufficient money for salaries?
, Baadae inachangwa laki na nusu wakaanza kusema , Muhimu kijana apate tu Jiko 
Hahah tax mnapata inadhihirisha size ya economy yenu.Hiyo 350 si ionekane on ground kama 150 ya Tz? Tunalipa mishahara, tunajenga miundombinu ambayo kwenu ni ndoto za alinacha, hatuna njaa, ni source of remittance kwenu.
Hizi ni class A roads.it's your construction norm almost countrywide, your fellow countryman saw the difference in Tanzania
View attachment 2589714
MpfyuuuuuuuuuuuuHizi ni class A roads.
Tafta picha za highway za Kenya you compare.
Ujuzi wa ku-assemble basi ya namna hii hamna! Mabasi ya Master yanajulikana!MARCOPOLO Assembled in Kenya
Our lazy neighbors import the same from ChinaView attachment 2589971
Hio basi imekua assembled na ava kama una macho utaona nembo ya ava on the right sideUjuzi wa ku-assemble basi ya namna hii hamna! Mabasi ya Master yanajulikana!
Nembo ipo photoshopped!Hio basi imekua assembled na ava kama una macho utaona nembo ya ava on the right side