Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Maendeleo gani ikiwa njaa inawamaliza pesa za mishahara hakuna nchi haina pesa na nchi inanuka madeni kila kona ya dunia mpaka munashindwa kupewa dhamana na saud arabia kupewa mafuta munakimbilia vitu havina tija kwa taifa wakat mambo ya muhimu kwa nchi yanawatoa kamasi

Sasa mumebakia na yale maisha ya kuingiza na ya uongo ndani yake
Havina tija kwa mabongolala kama wewe. Watu waliosoma wanajua umuhimu wa kutumia science kutatua matatizo mengine
 
Mmh huyu Mama.

kutoka $69B hadi $85B ndani ya miaka miwili!
Mbona ana balaa!

Kutokuweka lockdowns za ovyo kumeanza kulipa.

Na bado miradi ya kimkakati haijakamilika.
Sio habari za kushangaza hata kidogo,FDI Imerudi Kwa Kasi sana.

Unaweza ukaona pia kwenye Revenues za TRA kutoka kukisanya wastani wa 1.3T Kwa mwezi mwaka 2021 Hadi 2.1T mwaka 22/23 zaidi Bil.700 ndani ya miaka 2 sio kazi ndogo imefanyika..


 
POV.

IMG_6490.jpg
 
Kwa takwimu hizi za Uwekezaji na upanukaji wa biashara sishangai expansion ya uchumi wa Tanzania kuwa kubwa ndani ya miaka 2 ya Rais Samia..

Imagine M& A zilizorekodiwa Kwa miezi 6 ya mwaka Jana zimefikiwa ndani ya miezi 2 ya mwaka 2023..

Expansion ya investments ni kubwa sana na umeme utakapokuwa stable kuanzia 2025 huko Uchumi utakuwa Kwa Kasi kubwa sana..
 
diffrence ya haya mafuta ni eti yalinunuliwa na kenya shillings, a first to hapen in africa we will be saving $500m every month by just buying oil in ksh thats why alikua huko
Kuwepo kwake kunaongeza nini?, bado sijaona umuhimu wowote wa naibu rais kwenda kupokea hiyo meli?.

Jambo lingine ni kwamba, kawaida wakenya mnapenda Sana kujipa matumaini katika mambo yenu, lakini mwisho wa siku mnagundua kwamba sio kweli.

Kwa muda mrefu, viongozi wa Kenya wamekua wakiwapa matumaini ya uongo, na ninyi mumekua mkikubali bila kujiuliza.

Katika hali ya kawaida, nchi inayonunua bidhaa kwa pesa yake ya ndani, lazima ikubali kupata hasara kuliko kutumia $, kwasababu lazima mambo mawili yawe yanazingatiwa kabla ya pesa ya ndani kukubaliwa
1)Currency depressiation rate as it is
determined by the suppliers
2)Interest rate

Ninakuhakikishia, kwa kitendo Cha Kenya kununua mafuta kwa kutumia pesa ya ndani, Kenya itapoteza pesa nyingi saña kuliko Kama ingeendelea kutumia USD.

Kenya imelazimika kutumia pesa ya ndani, sio kwa kupenda, hii ni kutokana na upungufu wa USD.
 
eaach time i look at this picture it reminds me how conjested the dar brts are and i conclude the brt is just a sham, the most important thing is abiria wasafiri salama bila stressView attachment 2588434
That is the most modern, cheap, reliable, faster and safe means of public transportation in the world currently.

Any city without BRT/ light trains is very primitive city like Nairobi.
 
eaach time i look at this picture it reminds me how conjested the dar brts are and i conclude the brt is just a sham, the most important thing is abiria wasafiri salama bila stressView attachment 2588434

Ushamba wako ndio shida, duniani kote ndio namna urban public transport works.. especially during peak hours, you aim at mass transit in a shortest time,
Sasa kama you can travel over 30km in just 25 minutes who would not want such means of transport?

Hapo nairobi majority walks distances to and from work. I have seen it myself.
 
Back
Top Bottom