Not good news for Ugali Republic.
Mchakato wa kusaka contractor na mkopo ulianzishwa na Serikali ya Magu ,Serikali ya Magufuli ilishakuwa imeji commit kwenye masharti ya kindezi tokea kutafuta financier ambae alishawapa masharti ya Wakandarasi wake..
Kadogosa ni appointee wa nani?Japo hawa pia Mwigulu,Mbarawa ni wahusika wakuu kumshawishi Rais akubali tender ya kindezi washtakiwe.
Mjinga huyo Mkenya wa kujifanya Mtanzania na chuki zake za kukaririshwa.Juzi nilikua mtu wa kwanza kumsifia mama kwa hatua zake alizochukua, japo wewe bado ulionyesha kutoridhishwa bado na hatua hizo.
Nilimsifia mama kwasababu amefanya kazi nzuri, sio kwasababu ninampenda au kumchukia. Sikumbuki Kama ulishawahi kumsifia Magufuli kwa lolote lile, labda unikumbushe Kama nimesahau.
Wewe ndio mpumbavu una ugonjwa wa akili.Wewe ni mpumbavu, tena sana. Rudi shule kajivunze kusoma na kuelewa unachosoma. CAG ameeleza bayana kuwa, "Mtoaji wa mkopo hana mandate ya kushinikiza mkandarasi"
Mkandarasi alichomekwa kienyeji na Bodi ya TRC na ulikuwa ni wajibu wa serikali iliyo madarakani kuhakikisha zabuni inatolewa kwa mujibu wa sheria za umma, ambapo haikufanyika hivyo. Sheria zilivunjwa serikali ikiangalia, na watu walipiga kelele, serikali ikakaa kimya, wakasaign kandarasi ya rushwa.
1. Zabuni inatolewaje bila kufata sheria na kuhoji uvunjwaji wa sheria katika kutoa zabuni?
2. Wajibu wenu kama serikali ni upi hapo?
Unamuhusishaje Magufuli na mambo yenu ya kipumbavu?
Wewe ndio mpumbavu una ugonjwa wa akili.
Maelezo ya masharti ya kushinikiza mkandarasi ametoa CAG au ni yangu?
Hiyo ndio conclusion ya CAG kwamba hakuna financier mwenye hiyo mandate Sasa Kwa nini waliohusika walikubali shinikizo batili?
Baada ya Uchunguzi wa kina Kila mtu atawajibika Kwa nafasi yake.
Sio kama kimji kingine kina jina la Kiarabu.Nairobi hua na very unique buildings, very diverse architecture.
![]()
Dom inawaacha kwa speed kweliSio kama kimji kingine kina jina la Kiarabu.
zaidi ya jina mna mchango upi Mwingine hapo? hata budget ya kuijenga hampoTaifa 1 ready for launch this week at Space X!!! Kenya seems serious in Space Technology
View attachment 2585594
Munajipa mambo yamewazidi umri hatimae sasa ndio hvo njaa inawaumbua sasa 🤣🤣Taifa 1 ready for launch this week at Space X!!! Kenya seems serious in Space Technology
View attachment 2585594
Siyo ya kenya mdogo wangu. Ni jina la kenya pekeeTaifa 1 ready for launch this week at Space X!!! Kenya seems serious in Space Technology
View attachment 2585594
Serious in space technology but not Serious in food sufficiency seriously!!!!!!?Taifa 1 ready for launch this week at Space X!!! Kenya seems serious in Space Technology
View attachment 2585594

Naiona Washington DC ndani ya Africa.Dom inawaacha kwa speed kweli View attachment 2585597