ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,425
- 85,250
Wamarekani wafanye haraka sana kama walivyoahidi
Na kuna baadhi ni dual air bridges labda hana taarifa tu 😆😆😆Hizo state of the art air bridges umeziona kwanza halafu fananisha na zile za kwenu![]()
Sijauliza kwamba ni constitution au hapana, niliuliza sababu iliyosababisha kutomteua Tena.![]()
Court: Magufuli’s sacking of CAG was unconstitutional
Three judges have granted an application filed in 2019 by opposition politician Zitto Kabwe following Prof Mussa Assad’s removal from officewww.thecitizen.co.tz
Hahahaha, nchi ipo kwenye "autopilot gear".joto la jiwe tayari
mbona sie wakenya atupo jamani roho inauma sana🇹🇿🇹🇿🇹🇿👏👏👏 kumbe tumoView attachment 2584436
Hii ndio Ile "Wanasema navimbaaa, na sina hata mia...
Nairobi hua na very unique buildings, very diverse architecture.
![]()
Swali hapa la kujiuliza ni hili, kwanini Bunge linakataa kufanya kazi na CAG wakati tu CAG katoa report yake inayoonesha kuna upotevu wa matrilioni Serikalini? Je ni kazi ya Bunge kuitetea Serikali au kuiwajibisha kwa kufuata maelekezo ya CAG?Sijauliza kwamba ni constitution au hapana, niliuliza sababu iliyosababisha kutomteua Tena.
Nadhani unajua kwamba CAG alikua na mgogoro mkubwa na bunge, jambo lililosababisha bunge kukataa kushirikiana na CAG.
Kumbuka kazi ya CAG ni kuangalia Kama kweli serikali inatumia pesa na rasilimali za nchi Kama ilivyoelekezwa na bunge, ripoti yake lazima ipelekwe bungeni kufanyiwa kazi na wabunge kwa kufuata maoni na mapendekezo ya CAG. Kama bunge limekataa kufanyakazi na CAG, kweli ni busara huyo CAG kuendelea kuwepo?.
Kwasababu CAG ni mteule wa rais, katika mazingira hayo ya "stalemate", ungemshauri rais afanye nini Ili kazi za kuisimamia serikali ziendelee?.
Watu wako obsessed na kenya hapa, hadi jinambona sie wakenya atupo jamani roho inauma sana
. Hizi attentions mnazitafta kutoka kwa wakenya hamuezi zipata hapa. Hapa kuna wakenya 5 tu amabao huchangia jf na hawapo active vile