Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Eti Nairobi has clean roads than Dar, peleka hiyo perspective yako twitter au you tube uone aina za matusi utatukanwa na watu wakiwemo Wakenya wenzio [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Dah iko na njia za mchanga something right now you can’t find in nairobi even in the slums… unless it’s a newly cropping estate in a low income areas and has to be very far
 
Huwezi fananisha jkia na huu mnanda wa soko jnia

D2F1BzZWsAEBiJp.jpg
Hizo state of the art air bridges umeziona kwanza halafu fananisha na zile za kwenu [emoji16]
 
How is current affairs related to the comparison? Current affairs come and go and it’s something that can be sorted out if the right decisions are made but there is the long term general comparison of two areas starting from social, entertainment, infrastructure, cost of living, weather and the like
Only thing that can't change for a long period is weather, but everything is dynamic.

The difference between Kenya and Tanzania is that, Kenya pays too much attention on " maendeleo ya vitu hasa katika maeneo ya mijini", we Tanzania pay too much on "maendeleo ya watu".

Between good roads and affordable life, which city would you prefer?
 
Not my words it’s from guys who have stayed in dar for over a year and are now in Kenya and when I say dirt roads inamaanisha un tarmacked roads. And kutukanua does not reflect the reality… just because there are areas that are dirty doesn’t mean there are no other places that are clean and it’s the majority
Mind you, Dar is three times bigger than Nairobi
 
Dah iko na njia za mchanga something right now you can’t find in nairobi even in the slums… unless it’s a newly cropping estate in a low income areas and has to be very far
Hii sio Nairobi?

Kwanini mnapenda kujidanganya wenyewe?

Eti Nairobi haina dirty roads? hata ulaya zipo rough roads itakua Nairobi jalalani?

Screenshot_20221209-084235.png
Screenshot_20221209-083341.png
Screenshot_20221209-082018.png
Screenshot_20221208-215946.png
Screenshot_20221208-214058.png
Screenshot_20220526-212219.png
 
Dah iko na njia za mchanga something right now you can’t find in nairobi even in the slums… unless it’s a newly cropping estate in a low income areas and has to be very far
Hii midomo yenu mipana mbn tushaizoea, kwa mfano maneno haya uliyoongea mtu asiewajua vzr anaweza kudhani unaishi moja kati ya nchi zinazojitambua kumbe unatokea Kenya and last time I checked there was demonstration for unga wa ugali [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom