NDINDA
Platinum Member
- Apr 4, 2011
- 10,726
- 49,572
wanataka kujifananisha nao 🤣, Hata shughuli za kiuchumi zao hazifanani na hao wa first world.Maandamano ya kupinga energy price ambayo ilitazamiwa kupanda mpaka kufikia £2500 kwa mwaka, kwa hesabu za haraka haraka £1=tshs 2900, so £2500×2900=7,250,000, so jibu hapa ni kwamba usifananishe maisha ya first world country na nyie kajamba nani shit hole country ambapo bei ya unga tu tshs 2000 per kg mnaandamana, nyie ni mafukara wa kutupa.


